Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
RC Makalla: Atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, Aelekeza Polisi kutuma Askari waliovaa kiraia na kujifanya wateja. Hiyo ni taarifa kutoka mtandao wa bongo5.com hii leo.
RC Makonda alikuwa na programu za kuwasadia single mama, wajane, kufanya usafi mwisho wa mwezi, kupima tezi dume n.k
Mara nyingi tumeshuhudia matamko na mipango ya namna kutoka kwa ma RC na ma DC hii lakini inafikirisha zaidi pale ambapo yanatolewa na mtu anayengoza mkoa muhimu, tegemeo sana katika nchi na maarufu duniani kama wa Dar.
Viongozi wetu wengi wanajua uhitaji au vipaumbele vya taifa letu kwa sasa na serikali iliyowapa dhamana ya madaraka au hivi ndivyo vitu raia wengi wanapenda kusika?
RC Makonda alikuwa na programu za kuwasadia single mama, wajane, kufanya usafi mwisho wa mwezi, kupima tezi dume n.k
Mara nyingi tumeshuhudia matamko na mipango ya namna kutoka kwa ma RC na ma DC hii lakini inafikirisha zaidi pale ambapo yanatolewa na mtu anayengoza mkoa muhimu, tegemeo sana katika nchi na maarufu duniani kama wa Dar.
Viongozi wetu wengi wanajua uhitaji au vipaumbele vya taifa letu kwa sasa na serikali iliyowapa dhamana ya madaraka au hivi ndivyo vitu raia wengi wanapenda kusika?