RC Makalla: DSM ina upungufu wa Maji wa Lita milioni 70 kwa siku sawa na 26%, Wananchi tumieni maji kwa uangalifu!

RC Makalla: DSM ina upungufu wa Maji wa Lita milioni 70 kwa siku sawa na 26%, Wananchi tumieni maji kwa uangalifu!

Hawa wateule wa Rais wanapojifanya ni wataalam wa kila kitu kwamba wanaweza wakawa wasemaji bila facts.

Wapeni wananchi Maji wanayogharamikia kupitia tozo mbali mbali. Tunahitaji huduma za kijamii zilizo bora sio ngonjera za Makalla
 
Tatizo likitokea daresalam ndio kila MTU hujifanya mtaalam wa kushauri ila huku mikoani.....tunajiongeza tuu.
 
Hiyo mika 60 popilation ya watu ili stuck au imeongezeka?
Hiyo reservior iko wapi? Na kwamba miaka uote iko full na inahudumia jiji na kwa ongezekeko la watu bila shida?
Kazi ya serikali ndio hiyo. Wanapaswa waweke miondombinu kwa ajili ya kesho. Mfano kwa Sasa mahitaji ya umeme ni MW 1300, Ila wanajenga bwawa na kuzalisha umeme wa gesi ili kuwa na MW 3000, kwa ajili ya kesho.
Inapaswa wafanye hivyo kwenye maji na kwenye mahitaji mengine.
 
Kazi ya serikali ndio hiyo. Wanapaswa waweke miondombinu kwa ajili ya kesho. Mfano kwa Sasa mahitaji ya umeme ni MW 1300, Ila wanajenga bwawa na kuzalisha umeme wa gesi ili kuwa na MW 3000, kwa ajili ya kesho.
Inapaswa wafanye hivyo kwenye maji na kwenye mahitaji mengine.
Yes ni kazi ya serikali. But do we have to ignore kwamba hakuna ukame bali ni siasa?
Am speaking nje ya dar sasa? Kuna mikoa ilizoeleka kwa barid maji kutiririka muda wote. Leo hii wanaongoza kwa joto na maji ya kutafuta kwa tochi ?
 
RC MAKALLA: UKAME NDIO CHANZO CHA UPUNGUFU WA MAJI.

- Asema mvua za Vuli zimechelewa ambazo huanza mwezi October Na upungufu wa maji ni lita 70 Milioni kwa siku.

- Apongeza operesheni ya wachepushaji maji imeongeza kiasi lakini upungufu Upo mpaka mvua zinyeshe.

- Awataka Wananchi kutumia maji vizuri na kutunza vyanzo vya maji.

- Kilichotolea Ni mabadiliko ya Tabia Nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Mgao wa maji Jijini humo utaendelea kuwepo mpaka pale Mvua zitakapoanza kunyesha na kuongeza kina Cha maji kwenye vyanzo vya maji Ruvu Chini na Ruvu Juu ambavyo kwa Sasa vina upungufu wa maji.

RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya kutembelea Vyanzo vya Maji vya Ruvu Juu na Ruvu Chini akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Watendaji wa DAWASA iliyolenga kujionea na kujiridhisha Hali ya Maji kwenye vyanzo hivyo.

Akizungumza katika ziara hiyo RC Makalla amesema baada ya Maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa yamesaidia uwepo wa Ongezeko la Lita Milioni 200 kutoka Lita Milioni 65 na kufanya upungufu wa Lita Milioni 70 kwa Ruvu Chini.

Aidha RC Makalla amesema upande wa Ruvu Juu Hali sio mbaya Sana Kutokana na uzalishaji wa maji kuendelea kuwa Lita Milioni 196 kwa siku.

Kutoka na Hilo RC Makalla ametoa wito kwa Wananchi kutumia Maji vizuri na kuendelea kutunza vyanzo vya maji huku akipongeza jitiada zinazofanywa na Wizara ya Maji na DAWASA.

Hata hivyo RC Makalla amesema mahitaji ya Maji kwa Mkoa wa Dar es salaam kwa siku ni Lita Milioni 540 na uzalishaji Lita Milioni 520 na asilimia kubwa ya Maji hayo yanategemea kunyesha kwa mvua lakini Kukosekana kwa mvua za Vuli kwa takribani miezi miwili Sasa imesababisha upungufu wa maji.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Mamlaka hiyo inaendelea kufanya kila jitiada kuhakikisha kila Mwananchi anapata Huda ya Maji licha ya kuwepo kwa Mgao.

Kwa mujibu wa DAWASA, Mtambo wa Maji Ruvu Juu unazalisha Lita Milioni 196 kwa siku na Mtambo wa Maji Ruvu Chini unazalisha Lita Milioni 270 kwa siku lakini Kutokana na upungufu wa maji kwa Sasa
Kwanini hilo aliseme leo wakati tayari watu wameshaanza kuteseka na hilo tatizo?

Anajua wajibu wa mtumishi wa umma?

Yaani wakati vyanzo vya maji vinaanza kukauka kwanini hawakuttangazia kuwa kuna ukame unakuja?

Huyo hafai kuendelea kubakia kwenye ofisi za walipa kodi.
 
RC MAKALLA: UKAME NDIO CHANZO CHA UPUNGUFU WA MAJI.

- Asema mvua za Vuli zimechelewa ambazo huanza mwezi October Na upungufu wa maji ni lita 70 Milioni kwa siku.

- Apongeza operesheni ya wachepushaji maji imeongeza kiasi lakini upungufu Upo mpaka mvua zinyeshe.

- Awataka Wananchi kutumia maji vizuri na kutunza vyanzo vya maji.

- Kilichotolea Ni mabadiliko ya Tabia Nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Mgao wa maji Jijini humo utaendelea kuwepo mpaka pale Mvua zitakapoanza kunyesha na kuongeza kina Cha maji kwenye vyanzo vya maji Ruvu Chini na Ruvu Juu ambavyo kwa Sasa vina upungufu wa maji.

RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya kutembelea Vyanzo vya Maji vya Ruvu Juu na Ruvu Chini akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Watendaji wa DAWASA iliyolenga kujionea na kujiridhisha Hali ya Maji kwenye vyanzo hivyo.

Akizungumza katika ziara hiyo RC Makalla amesema baada ya Maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa yamesaidia uwepo wa Ongezeko la Lita Milioni 200 kutoka Lita Milioni 65 na kufanya upungufu wa Lita Milioni 70 kwa Ruvu Chini.

Aidha RC Makalla amesema upande wa Ruvu Juu Hali sio mbaya Sana Kutokana na uzalishaji wa maji kuendelea kuwa Lita Milioni 196 kwa siku.

Kutoka na Hilo RC Makalla ametoa wito kwa Wananchi kutumia Maji vizuri na kuendelea kutunza vyanzo vya maji huku akipongeza jitiada zinazofanywa na Wizara ya Maji na DAWASA.

Hata hivyo RC Makalla amesema mahitaji ya Maji kwa Mkoa wa Dar es salaam kwa siku ni Lita Milioni 540 na uzalishaji Lita Milioni 520 na asilimia kubwa ya Maji hayo yanategemea kunyesha kwa mvua lakini Kukosekana kwa mvua za Vuli kwa takribani miezi miwili Sasa imesababisha upungufu wa maji.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Mamlaka hiyo inaendelea kufanya kila jitiada kuhakikisha kila Mwananchi anapata Huda ya Maji licha ya kuwepo kwa Mgao.

Kwa mujibu wa DAWASA, Mtambo wa Maji Ruvu Juu unazalisha Lita Milioni 196 kwa siku na Mtambo wa Maji Ruvu Chini unazalisha Lita Milioni 270 kwa siku lakini Kutokana na upungufu wa maji kwa Sasa
Al maruhumu ndio maana hakuwahitaji watu wa siasa za manene kama makalla alitaka vitendo kama sabaya!
 
Kuna comments zinavunja mbavu humu.

Someni habari yote, RC Makala ameongea kutoka site baada ya kujionea na kuongea na wataalam.

Ni kweli CCM ina mazuzu lakini kuna wakati yanaongea ukweli. TUSIYAONEE!
 
Kwanini hilo aliseme leo wakati tayari watu wameshaanza kuteseka na hilo tatizo?

Anajua wajibu wa mtumishi wa umma?

Yaani wakati vyanzo vya maji vinaanza kukauka kwanini hawakuttangazia kuwa kuna ukame unakuja?

Huyo hafai kuendelea kubakia kwenye ofisi za walipa kodi.
Maziwa yamekauka?
Kila eneo kuna mito mikubwa na maziwa.
Waache kumkufuru Mungu
 
RC MAKALLA: UKAME NDIO CHANZO CHA UPUNGUFU WA MAJI.

- Asema mvua za Vuli zimechelewa ambazo huanza mwezi October Na upungufu wa maji ni lita 70 Milioni kwa siku.

- Apongeza operesheni ya wachepushaji maji imeongeza kiasi lakini upungufu Upo mpaka mvua zinyeshe.

- Awataka Wananchi kutumia maji vizuri na kutunza vyanzo vya maji.

- Kilichotolea Ni mabadiliko ya Tabia Nchi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Mgao wa maji Jijini humo utaendelea kuwepo mpaka pale Mvua zitakapoanza kunyesha na kuongeza kina Cha maji kwenye vyanzo vya maji Ruvu Chini na Ruvu Juu ambavyo kwa Sasa vina upungufu wa maji.

RC Makalla amesema hayo wakati wa ziara ya kutembelea Vyanzo vya Maji vya Ruvu Juu na Ruvu Chini akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Watendaji wa DAWASA iliyolenga kujionea na kujiridhisha Hali ya Maji kwenye vyanzo hivyo.

Akizungumza katika ziara hiyo RC Makalla amesema baada ya Maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa yamesaidia uwepo wa Ongezeko la Lita Milioni 200 kutoka Lita Milioni 65 na kufanya upungufu wa Lita Milioni 70 kwa Ruvu Chini.

Aidha RC Makalla amesema upande wa Ruvu Juu Hali sio mbaya Sana Kutokana na uzalishaji wa maji kuendelea kuwa Lita Milioni 196 kwa siku.

Kutoka na Hilo RC Makalla ametoa wito kwa Wananchi kutumia Maji vizuri na kuendelea kutunza vyanzo vya maji huku akipongeza jitiada zinazofanywa na Wizara ya Maji na DAWASA.

Hata hivyo RC Makalla amesema mahitaji ya Maji kwa Mkoa wa Dar es salaam kwa siku ni Lita Milioni 540 na uzalishaji Lita Milioni 520 na asilimia kubwa ya Maji hayo yanategemea kunyesha kwa mvua lakini Kukosekana kwa mvua za Vuli kwa takribani miezi miwili Sasa imesababisha upungufu wa maji.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Mamlaka hiyo inaendelea kufanya kila jitiada kuhakikisha kila Mwananchi anapata Huda ya Maji licha ya kuwepo kwa Mgao.

Kwa mujibu wa DAWASA, Mtambo wa Maji Ruvu Juu unazalisha Lita Milioni 196 kwa siku na Mtambo wa Maji Ruvu Chini unazalisha Lita Milioni 270 kwa siku lakini Kutokana na upungufu wa maji kwa Sasa
Bomba la mafuta Hoima hadi Tanga
Basi tufanye kutoa Bomba la Maji kutoka hata Mwanza kuleta Dar es Salaam kwani haiwezekani?
 
Maji yapo mengi tuu ziwa Tanganyika waseme tumekosa akili ya kusafirisha maji kwa usalama toka Kigoma mpaka Daslm...na hatuwezi kutunza maji pia mwaka jana maji yalikua yanamwagika hapo Ruvu miezi kadhaa tuu mvua imechelewa tunalialia hili ni tatizo kubwa la kukosa maarifa...
 
Upumbavu mtupu! Miaka 60 ya uhuru jiji kubwa kama Dar halina reservoir ya uhakika ya kutosheleza hata miaka mitatu ya ukame? Halafu kuna mazuzu watashangilia. Akili sifuri.
PictureQuotes1637771729.png
 
Maji yapo mengi tuu ziwa Tanganyika waseme tumekosa akili ya kusafirisha maji kwa usalama toka Kigoma mpaka Daslm...na hatuwezi kutunza maji pia mwaka jana maji yalikua yanamwagika hapo Ruvu miezi kadhaa tuu mvua imechelewa tunalialia hili ni tatizo kubwa la kukosa maarifa...
Hakika, juzi tu maji yamejaa na kuua miundombinu leo tuna shida ya maji! Si shida ya maji, ni shida ya akili.
 
RC MAKALLA: UKAME NDIO CHANZO CHA UPUNGUFU WA MAJI.

- Asema mvua za Vuli zimechelewa ambazo huanza mwezi October Na upungufu wa maji ni lita 70 Milioni kwa siku...
Huyu RC, ubongo wake haiko sawa kwa tafiti ya ovyo ..... namna hyo
 
Back
Top Bottom