johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Maji ni Uhai.Kuna maeneo matatu ambayo Mama Samia asicheze nayo nayo Ni maji,umeme na chakula.....
Hivyo vitengo vya Planning huko serikalini vinaplan nini?Hiyo mika 60 popilation ya watu ili stuck au imeongezeka?
Hiyo reservior iko wapi? Na kwamba miaka uote iko full na inahudumia jiji na kwa ongezekeko la watu bila shida?
Yule jamaa nilimfananisha na msolopa ganzi mwana wa kazi!lile jamaa aka Mwamba zee la maamuzi magumu lingewacheki halafu lingesema hiii...getegete..
ungesikia linaachia hela maji ya bahari yafanyiwe mambo au vuta maji ziwa victoria yalete Dom na Dar....basi hapo ungesikia kelele kila kona ya dunia... huku lenyewe likienda zake chato kupumzika na msafara wake wa road to road....
Chimba kisima!Sasa sisi wenye ma swimming pool na ma landscape nyumbani tufanyeje? Tunahitaji maji mengi.
lile jamaa aka Mwamba zee la maamuzi magumu lingewacheki halafu lingesema hiii...getegete...
Ngoja Makalla atawatembelea huko Kisarawe!Mwanza mpaka Dodoma mbali kote huko wakati Kisarawe 2 hapo kuna maji yanachimbuka chini lakini wanashindwa kufanya kitu chochote
Kwa CCM hii inawezekanaIko siku mtaambiwa muoge miikojo yenu
usimamizi mbovuMsituletee upuuzi nyie viongozi. Kila siku inapoisha napata hasira na uongozi wenu kwanzia juu kabisa. Mbona kama mnatukomesha? Why now kila kitu kiwe kigumu?
Upumbavu mtupu! Miaka 60 ya uhuru jiji kubwa kama Dar halina reservoir ya uhakika ya kutosheleza hata miaka mitatu ya ukame? Halafu kuna mazuzu watashangilia. Akili sifuri.
Harafu kukosa akili wanataka wote tukubali mvua imechelewa huko Sudan mvua wanapata mara chache kwa mwaka mmoja na miaka mitatu mingine hakuna mvua wanaishije...Hakika, juzi tu maji yamejaa na kuua miundombinu leo tuna shida ya maji! Si shida ya maji, ni shida ya akili.