RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

Waondoke wamechafua SANA jiji, wameziba drainage system za DAWASA, na mvua zinataka kuanza, wacha jiji lisafishwe waondoke Kkoo isukwe upyaa.
Tufanane na Kigali. šŸ˜… banyarwanda nawasalimu kwa jina la Jamhuri!

Everyday is Saturday...............................šŸ˜Ž
 
Haya ni maamuzi magumu katika siasa za Bongo, nampongeza sana RC Makala na namuunga mkono kabisa na kumtakia mafanikio katika zoezi hili na utumishi wake kwa ujumla
Itapigwa simu moja tu toka juu kusitisha zoezi zima unapunguza kula za mheshimiwa. Badala yake yeye atatoka na atatuacha sisi wamachinga.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi

Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Wanaudhi Sana hao watu,kupangwa hawataki ila kujipanga ndio wanataka
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo , ambazo zimejaa wamachinga , mama lishe , wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi

Bali haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa .
Tatizo utekelezaji
 
Nyie tuguseni tunuke, sisi ndio wapiga kurašŸ’
Aliguswa bwana yule na hajanuka, sembusešŸ˜€
Sirro atatoa amri moja tu, kwisha habari!

Everyday is Saturday..............................šŸ˜Ž
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Makalla amesema zoezi la kulirejesha jiji pamoja na mkoa mzima katika hadhi yake litaanza ambapo Wamachinga wanaofanya biashara zao barabarani na katika hifadhi za barabara wataondolewa.

Makalla amesema wamachinga wote wanapaswa kufanya biashara katika maeneo rasmi yaliyotengwa na siyo vinginevyo.

Chanzo: Clouds tv

cc: Mmawia
Ni Jambo jema ila angalizo tu, asije akawa anadhani anawaondoa wamachinga kumbe anajiondoa yeye ofcn!!

Kwa sabab kabla ya kuwaambia watu waliopo waondoke lazima afikirie wanaenda wap, ikiwa Hana plan wapi wanaenda maana yake anawaambia wajitafutie wenyewe, je yupo tayar na matokeo ya kujitafutia wenyewe??

Naona vibaka na wezi wanaongezeka zaidi, dar itakuja kuwa mji wa hatari kuishi kuliko eneo jingine tz...
 
Kinachofanywa sio kuwazuia kufanya kazi bali watatengenezewa mazingira rafiki ya kuuza bidha zao bila kuleta kero na usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara sasa kukabwa mtaani kunaingiaje hapo bwashee
Mazingira rafiki ya machinga ni barabarani!
 
Hii ingependezaa ije pia mwanzaa,pale nyerere tower hakufai kabisaa wamachinga Hadi barabarani na hatari pale Ni round about gari ikifeli break Ni hatatii Sanaa,njoo mitaa ya makoroboi kwenda Hadi posta keroo tupuu.njoo mitaa Kama buhongwa stand ya kwenda mjini wajasiria malii wanapangaa nyanyaa Hadi daladalaa kuingia keroo....
 
Back
Top Bottom