The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Huo ni uongoooMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema mto Ruvu umacha kutiririsha maji kutokana na wananchi wa Mvuha, Dutumi na Kisaki Mkoani Morogoro kiwa na ng'ombe wengi.
Makalla na timu yake waliufuatilia mto Ruvu ili kujua sababu ya kutopitisha maji ambapo wamegundua shughuli za kibanadamu zinazofanywa katika vyanzo vya mto huo mkoani Morogoro, vimeathiri suala utiririshaji maji.
Ametoa wito kwa wakazi wa maeneo hayo kuhama maeneo yaliyokatazwa. Amesema suala la ukosefu wa maji ni mabadiliko ya tabia nchi ambayo pia huchangiwa na shughuli za binadamu.
View attachment 2407677
Mkuu jitahidi kufuatilia mjadala kuliko kuonyesha umekurupuka ,mawazo mengi including water desalination (this need tanesco to up their game),man made water dams hasa kuzunguka miji mikubwa, tuyatumie vema maji ya hizi 3 big lakes tulizopewa na Muumba, DAWASA wakiweza to plug all water leaks, tutaokoa more than 30%ya maji, maji mengi yanapotea kwenye hizi distribution systems zaoSo what are their coping strategies….sio kulalamika tu
Sasa kama mwanza hamna maji unategemea hawa wataalam wetuMkuu jitahidi kufuatilia mjadala kuliko kuonyesha umekurupuka ,mawazo mengi including water desalination (this need tanesco to up their game),man made water dams hasa kuzunguka miji mikubwa, tuyatumie vema maji ya hizi 3 big lakes tulizopewa na Muumba, DAWASA wakiweza to plug all water leaks, tutaokoa more than 30%ya maji, maji mengi yanapotea kwenye hizi distribution systems zao
Kuwa na N'gombe wengi ni tatizo kweli?....Makala anachekesha sana....uongozi sio lele mama aiseeMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema mto Ruvu umacha kutiririsha maji kutokana na wananchi wa Mvuha, Dutumi na Kisaki Mkoani Morogoro kiwa na ng'ombe wengi.
Makalla na timu yake waliufuatilia mto Ruvu ili kujua sababu ya kutopitisha maji ambapo wamegundua shughuli za kibanadamu zinazofanywa katika vyanzo vya mto huo mkoani Morogoro, vimeathiri suala utiririshaji maji.
Ametoa wito kwa wakazi wa maeneo hayo kuhama maeneo yaliyokatazwa. Amesema suala la ukosefu wa maji ni mabadiliko ya tabia nchi ambayo pia huchangiwa na shughuli za binadamu.
View attachment 2407677