Udambu Udambu
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 188
- 352
Duh iyumbu pia Nina kiwanja Mkuu Ila sijakilipia Bado. Ngoja nika cancel hiyo offer Kesho nibaki Na cha ihumwa Na Kisasa tu kule siwezi enda kaa Eneo moja Na zero brain
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And who are you asking; by the way?Who are you asking? You out of the loops already?Fisiemwahed!
I'm not asking. Just wondering about your ass.And who are you asking; by the way?
Hahaha Mungu anakuona WalahZiro brain naona anataka kumrithisha nchi mwanawe wa test tube
Kunywa Safari Moja nakulipiaUkitaka kujua watoto wa nje wa baba ngoja siku afariki mama zao watawaleta bila woga
Sent using Jamii Forums mobile app
Si uliona hata majuzi rais akiwa Mwanza, baada ya kumtembelea dada yake hospitalini, alisimama pale Nyerere Road kuzindua kwa siri jengo lake linaloitwa Nyerere Plaza, akajidai anazungumza na wananchi. Ni mali yake ile.
Umeambiwa tatizo sio kununua ila havipo kwenye form ya maadili ya viongozi walizojaza ambapo anatakiwa kuorodhesha mali anazomiliki.Sasa ukiangalia bei za hivyo viwanja mbona hata mfanyakazi mdogo tuu ananunua? Kwa kuna mtu alizuiliwa kununua? Mshahara wa RC ni shs Ngapi na ameanza kazi lini mpaka ashindwe vitu vidogo hivi? Tuache roho za kimasikini
Sent using Jamii Forums mobile app