Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafunga kivipi?Leo mh rais kawafungeni midomo yenu mirefu kama chuchunge nyie vijakazi wa Bashite
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapati tena hiyo nafasi maana nati zimekaza kinomaAisee hii mngeichelewesha kidogo mtasababisha akimbilie kulia mimbariniView attachment 851740
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema sasa upuuzi wako uliokuwa unasema hapa jamvini kumtetea sasa leo mwenye nchi katoa nenoMimi maswala ya Mkuu huyu wa Mkoa wa Dar nakaa nayo mbali ee!! Mungu nisaidiee!!
Nimtetee kivipi?
Vijakazi wa Bashite leo kimyaaaaaaaaMimi maswala ya Mkuu huyu wa Mkoa wa Dar nakaa nayo mbali ee!! Mungu nisaidiee!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mimi maswala ya Mkuu huyu wa Mkoa wa Dar nakaa nayo mbali ee!! Mungu nisaidiee!!
Kimya kivipi, mbona nipo hapa naongea?
Kwishaaaaa maneno yenu ya kumtetea Bashite wenu,dadeeekiKafunga kivipi?
Domo zege[emoji16][emoji16][emoji16][emoji6][emoji6]Kimya kivipi, mbona nipo hapa naongea?
Bado lemutuz naye atwambie nyaraka za sirikali kazipata wapi wakati yeye siyo mtumishi wa hiyo idara,lazima mkomeshwe nyinyi chumia tumboKafunga kivipi?
Wewe mbona unaweweseka na kusema sema hovyo leo?Bado lemutuz naye atwambie nyaraka za sirikali kazipata wapi wakati yeye siyo mtumishi wa hiyo idara,lazima mkomeshwe nyinyi chumia tumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo vijakazi wa Bashite mmezibwa midomo yenu michafu hapa jamviniWewe mbona unaweweseka na kusema sema hovyo leo?
Hamna kitu kama hicho.Leo vijakazi wa Bashite mmezibwa midomo yenu michafu hapa jamvini
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua kusoma lakini hujui kuelewa-kuna tofauti Kati ya kununua na kujimilikisha aridhi,
-makonda si msafi ndio,
Lakini tunapimshutumu ni vizuri tukawa na ushahidi,
ili tumuumbue vizuri tunapaswa tuweke ushahidi kwamba hakununua bali alijimilikisha huyu jamaa.
Domo zege leo dadeeeki kesho asubuhi kamsimulie BashiteHamna kitu kama hicho.