Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Midomo yao michafu imetiwa zege baada ya tamko la mwenye nchiheh,ghafla mnamkana bashite
kweli wachumia tumbo si watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Midomo yao michafu imetiwa zege baada ya tamko la mwenye nchiheh,ghafla mnamkana bashite
kweli wachumia tumbo si watu
Matusi hayatakiwi ktk jukwaa hili maana wote ni wastaarabuNitakuinamisha wewe pamoja na huyo modheri wako. Tulia dogo.
Leo unamkana Bashite?Nimekuambia lete ushahidi, mbona unaanza kutapatapa. Huna sio?
Swali kali sana hilokwa hiyo makonda ni laghai kama alivyoitwa na magu leo
Leo tunaendelea kuwafahamu mlio karibu na Bashite-ungeniwekea ushahidi wa mahali alipozikwapua pesa hizo, ningekuruhusu uendelee kunitukana,
NB:usifikiri mimi nafurahia anachokifanya makonda, lakini uzushi hautusaidii mkuu.
Tulikuwa tunasubiri siku ya miti kutereza.Siku zote mlikuwa wapi msiseme acheni fitna
Shida sio Kulipia..Tatizo ni kavipataje? thamani yake inaendana na kipato chake? Vyote viko kwenye record ya fomu yake iliyoenda tume ya maadili ya viongozi wa uma? Hivyo tu, Kama hakunamushkeli kokote wala hamna tabuHalipii au analipia?
-teh...
Siyo kwetu sisi wana dsmKama Akitolewa likipoa atarudi ngaz ya juu zaidi..mapigo yapo palepale
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe mchawi hunaga likizoHalipii au analipia?
Badooo bana na amesha kataa kuwa sio yakeYale makontena ashayalipia? Tuanzie hapo labda
Haya yanasemwa kila siku yatakuwa mapya kwako tuSiku zote mlikuwa wapi msiseme acheni fitna