Tetesi: RC Makonda ajimilikisha ekari 22.3 mkoani Dodoma, sawa na ukubwa wa viwanja 15 vya Soka

Tetesi: RC Makonda ajimilikisha ekari 22.3 mkoani Dodoma, sawa na ukubwa wa viwanja 15 vya Soka

Roho ya kimasikini inamwandama mwandishi wa grobu na grobu yake.
Kama naona vile watanzania wanaogopa kumiliki vitu kisa tu mawazo ya kimasikini.

Baku yangu kule kijijini ana mifugo yake na anamiliki Zaidi ya ekari 2,000 sasa huyo mwenye ekari 20 sijui mnamtaja wa nini.
 
Halipii au analipia?
Shida sio Kulipia..Tatizo ni kavipataje? thamani yake inaendana na kipato chake? Vyote viko kwenye record ya fomu yake iliyoenda tume ya maadili ya viongozi wa uma? Hivyo tu, Kama hakunamushkeli kokote wala hamna tabu
 
sina zaidi...
IMG-20180831-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom