RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

Kila siku kampeni ya kuwafukuza mjengoni ilipamba moto. Na ilikuwa ni jukumu la Spika na Naibu kutafuta sababu zozote kuwafungia wabunge hasa wa Chadema.

Sasa ghafla wabunge hao wameamua kuji isolate ili wasiambukizwe au kuambukiza wabunge wengine kwa siku 14.

Badala ya kufurahia absence yao, CCM imechukizwa sana na kulaumu na hasa kumshambulia Mbowe utadhani ni maamuzi yake binafsi.

Sasa ghafla RC Makonda naye anakuja na kitisho kipya ambacho wadadisi wa mambo wanahisi sio wazo lake bali katumwa.

Tetesi ni kuwa, viti na meza zao Bungeni hazingekuwa salama tena kwenye maambukizi kama mpango kabambe wa "futa, delete kabisa" na kwamba hata hiyo amri ya Dar kijingajinga waweza kukuta akakamatwa/wakakamatwa wabunge na wakiwa chini ya ulinzi kupakazwa vimelea vya ugonjwa huo.

Chadema na wabunge wenu kuweni makini kwani tetesi hizo mtaani haijulikani nani kazivujisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Makonda ndio Spika wa bunge?!
 
Usilinganishe DAR na Simiyu wewe. Wewe unafikiri kuongoza mkoa wa Dar ni rahisi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikitika sana, sijui ni mpumbavu gani alimchagua Makonda kua mshauri bodi ya wakurugenzi SIMBA SC



"Not everything is for everybody"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…