RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

Kila siku kampeni ya kuwafukuza mjengoni ilipamba moto. Na ilikuwa ni jukumu la Spika na Naibu kutafuta sababu zozote kuwafungia wabunge hasa wa Chadema.

Sasa ghafla wabunge hao wameamua kuji isolate ili wasiambukizwe au kuambukiza wabunge wengine kwa siku 14.

Badala ya kufurahia absence yao, CCM imechukizwa sana na kulaumu na hasa kumshambulia Mbowe utadhani ni maamuzi yake binafsi.

Sasa ghafla RC Makonda naye anakuja na kitisho kipya ambacho wadadisi wa mambo wanahisi sio wazo lake bali katumwa.

Tetesi ni kuwa, viti na meza zao Bungeni hazingekuwa salama tena kwenye maambukizi kama mpango kabambe wa "futa, delete kabisa" na kwamba hata hiyo amri ya Dar kijingajinga waweza kukuta akakamatwa/wakakamatwa wabunge na wakiwa chini ya ulinzi kupakazwa vimelea vya ugonjwa huo.

Chadema na wabunge wenu kuweni makini kwani tetesi hizo mtaani haijulikani nani kazivujisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku kampeni ya kuwafukuza mjengoni ilipamba moto. Na ilikuwa ni jukumu la Spika na Naibu kutafuta sababu zozote kuwafungia wabunge hasa wa Chadema.
Sasa ghafla wabunge hao wameamua kuji isolate ili wasiambukizwe au kuambukiza wabunge wengine kwa siku 14.
Badala ya kufurahia absence yao, CCM imechukizwa sana na kulaumu na hasa kumshambulia Mbowe utadhani ni maamuzi yake binafsi...
Kwani Makonda ndio Spika wa bunge?!
 
Mkuu wa mkoa pekee ambaye huwa natamani wakuu wengine wa mikoa wafuate nyayo zake ni Antony Mtaka RC wa Simiyu huyu jamaa sijawahi kuona anafanya kazi kisiasa nadiriki kusema hatoshi tu kuwa mkuu wa mkoa bali anaweza kufanya kazi zaidi ya ukuu wa mkoa ni mtu mwenye akili sana katika uongozi.

Ma-RC angalieni mwenzenu anavyofanya kazi ana kitu cha kuwafundisha ni kijana asiyekikweza mbele ya vyombo vya habari.
Usilinganishe DAR na Simiyu wewe. Wewe unafikiri kuongoza mkoa wa Dar ni rahisi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikitika sana, sijui ni mpumbavu gani alimchagua Makonda kua mshauri bodi ya wakurugenzi SIMBA SC



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom