RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

Ndugai kawafukuza wabunge wa uponzani Lema Godbléss, Ester Bulaya, Halima Mdee Sasa want wenyewe kwa makubaliano napo hataki Sasa sijui Kama anaeleweka.
 
Atafutwe akamatwe popote alipo. Mzururaji huyo hana kazi anafanya nini mjini
 
Atafutwe akamatwe popote alipo. Mzururaji huyo hana kazi anafanya nini mjini
Jama jama msimkurupushe na mawe kiasi hicho binadamu mwenzenu sijui kwa nini naota atajapewa nafasi pendwa kumbuka zipo kumi tuwape muda
 
Yeye kawa mzururaji huko mwanza,ukimkuta mitaa ya bonasera kavimbisha kalio lake
 
Dunia ina over speed jamani daah sio kwa mwendo huu, sijuzituhapa!!!!!!.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa Saa 24 kwa Wabunge wote waliokimbia kushiriki vikao vya Bunge na kwenda Dar es salaam kuhakikisha wanarudi bungeni tofauti na hapo watakamatwa kwa kosa la Uzururaji. Mbunge anaepaswa kuwa Dar ni mwenye Kibali cha Spika tu.View attachment 1441377
😂
 
Jamani ikiwa Sabaya kameza 30 huyu zero brain asiyekuwa na vyeti anaachwaje ase !!!

Mbona itakuwa sio haki kumuacha huyu mtu

1. Armed Robbery Clouds FM
2. Vyeti Feki
3. Njama za Mauaji (Makazi ya Wabunge Dodoma)
4.
 
Back
Top Bottom