Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una juhudi sana, unaitendea haki 7000 yako.Chadema wamedanganya Watanzania wanajifungia Leo hii wanaonekana dar wakila bata
Makonda kamata hao wachumia tumbo wakae selo
Viongoz kama hawa ndo tunaowataka ktk nchi yetu, wenye misimamo bila kuogopa biandamu mwenzie ambaye ameumbwa kwa udongo na muda wowote ambao hajui anaweza kufa.
Hatutaki viongozi wanaojitakia mambo, na kutengeneza hoja zilizojaa chuki, go on Mheshimiwa Makonda, m naweza kufanya kazi na mtu kama huyu.
Lema ameshakata tamaa!Kuna wakati nilisema hawa watoto wakiachwa waendelee hivi,kuna siku wata chukua wake za watu kwa nguvu.Ujinga,kiburi utaingiza Nchi kwenye machafuko.Nime kumbuka kesi hii,Republic vs Saidi Mwamwindi ya mwaka 1972.Said Mwamindi alimuua RC Wilbert Kleruu
Nauliza duka la bastola hapa ubungo
Tumewazoea misukule ya ufipa kwa kupayuka payuka [emoji23][emoji1787][emoji2960]Wewe ni toilet paper ya lumumba na matumizi yake siku zote ni ya aina moja!Endelea kuwa kitakasa uchafu wa wakubwa zako!
Ana miaka 5 imebaki ya kujidai.Asitegemee Rais ajae atavumilia huo ujinga.Time will tell
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM hamna akili unajua marehemu Mh Ndassa alifika mpaka mlango wa Bungeni akakataliwa kuingia joto lake lilikuwa 39 ...na nyie CCM mlivyokuwa na roho mbaya hamshindwi kuwawekea wabunge wa Chadema virusi....Upinzani wa hovyo mno, eti kukimbia wajibu wao wa kibunge ndio approach yao ya kuwafikisha ikulu.
Karanti wapi? Wako mtaani wanazurura kama mbuzi!Ila si wapo karantini? Daah, sometimes huwa nawaza sijui wengine huwa wataishi milele?
Nashauri viongozi wawe na akiba ya maneno
Kreluu alichinjwa kama mbuzi na Mamwindi.kuishi kwingi...
Kwani Dar hakuna maambukizi?Wamekimbia maambukuzi ya corona wewe unaishi sayari gani!!?