RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

Neno la kuwawakamata wabunge kama wanavyowakamata machangudoa. Hapo mheshimiwa mkuu wa mkoa umeteleza kidogo. Kuwafananisha wabunge ambao Ni wawakilishi wa wananchi na machangudoa Ni kuwatukana wananchi wao.

Waaombe radhi wananchi ambao waliwachagua wabunge hao



Sent using Jamii Forums mobile app

Haya ni maelekezo maalumu ya malaika MKUU toka CHATOO kwenda kwa RC MAKONDA ili kuwashughulikia Wabunge wa CHADEMA/Upinzani. Kumbuka Malaika MKUU alishamwelekeza Ayubu kukata Posho za Wabunge walioko kwene Isolation ya 14 days! Yajayo yanasikitisha sana!
 
Wasalaam wana jamvi!

Pengine Makonda amekosea kwenye maagizo yake na hayatekelezeki kabisa maana mbinge hawezi kulazimishwa kukaa bungeni!

Lakini tamko la Mbowe lilikuwa wazi kabisa na liliwataka wabunge wote wa Chadema kujikarantini Dodoma kwa siku 14 na wasiende kwao au majimboni mwao mpaka watakapo pima!


Kuna maswali mengi sana kwenye hili...

Ni wabunge gani wamejikarantini nyumbani kwao Dodoma?

Ni nani ana wasimamia wabunge hawa kukaa karantini?

Kwanini wamekiuka agizo la Mbowe kukaa karantini Dodoma?

Wasalaam


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Karantini huwa ni wapi?

Popote utapopachagua mwenyewe. It can be in a room at your home. Hii ndiyo isolation ukijiona Afya yako huielewi au kama umeshatengamana na mtu mwene Covid-19.

Lakini pia kuna Hostel za Magufuli pale Mlimani ukipenda!
 
corona inaleta comedy hivi machungudoa wanakamatwaje nijue kwanza 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😷😷😷😷
 
Bashite anatutoa kwenye wajibu wa MOH kutoa taarifa za covid19,watu wanataka kujua kwasasa sample wanapeleka wapi kupima covid19 baada ya ofisi ya maabara kushutumiwa kwa vipimo feki na kutumiwa na mabeberu? Ummy na Majaliwa mbona kimya sana kutoa taarifa?
Baada ya hotuba ya mkuu wa kaya jumapili, sahau habari ya corona.
Yaani ilizikwa rasmi pale chato na Mwigulu aliuzuria mazishi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I

Popote utapopachagua mwenyewe. It can be in a room at your home. Hii ndiyo isolation ukijiona Afya yako huielewi au kama umeshatengamana na mtu mwene Covid-19.
Lakini pia kuna Hostel za Magufuli pale Mlimani ukipenda!
Nikiwa natembea na gari yako mtaani nikiwa pekee yangu na nifunga vioo vya gari yangu hiyo si isolation?
 
Inakuhusu nini? Mbona mnatuhimiza tuchape kazi na tusiiogope corona?

In God we Trust
 
Mbowe alisema kila mbunge ajitenge so hawezi kuwapangia wapi maana hawapi pesa ya matumizi!
 
Chadema ni kikundi cha wahuni wanafanya maamuzi kwa hoja za kudandia!
 
Ina maana Makonda anadhani mzee baba pia kwa upande mwingine kutokuwa Dodoma ama Magogoni ni uzembe na uzurulaji pia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye akili za kufikiri mbali atawaza hivyo. Pamoja na kumpiga Lisu risasi, bado wakamfanyia unyama wa kutomtibu, kumvua ubunge etc. kama wanapata mwanya huu "mzuri" kwanini wasifanye hivyo. Hakuna ujinga hapa, unaangalia possibilities za watu unao na mashaka nao kufanya jambo
Retired, unadhani Corona ni sawa na ule upupu tuliokuwa tunapakazana shule ili mtu awashwe?! Unatumia science gani kwanza kucheza na hii ngoma?!
 
Back
Top Bottom