Kabisa yaan kajikamatishaSoudy yamemkuta tutaiyona sura yake mshenzi yule[emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tunaweza tusiwe na ushahidi lakini tunaweza kutumia common sense:Ni hisia zako tuu.
Kumbuka kipindi hiki tutasikia mengi,kabla hujakubali au kukataa jitahidi kutafakari
Huyo Mange sasa..!!! Amelipuka huko instagramuWamemchokoza Gwajima ninasubiri kesho.
sidhani , nafikiri huyu kijana ni wakala wao wa kukusanya rushwa toka kwa wahalifu,si kawaida hii haliNi wakati wa Magufuli kuchukua hatua mara moja...
sidhani , nafikiri huyu kijana ni wakala wao wa kukusanya rushwa toka kwa wahalifu,si kawaida hii haliNi wakati wa Magufuli kuchukua hatua mara moja...
Hilo swali kawaulize shilawadu na shabiki wao wa magogoniNaiman jinsi mnavyomchukia makonda ingekua ni kweli hakika ingeshatoka saa nyig hyo clip ili kuzidi kumwaibisha laki sababu ni story ya kutunga ndio maana unamwaya mwaya kuweka hadharan,,,, hiv mwanaume unapokua m'mbea m'mbea unapaswa kuwekwa fungu gani???
Si kama hapemdi, huenda hana. Si umajua utoto tena. Akikua ataabha.Huyu bashite mbona hapendi kutumia akili hivi
[emoji23] [emoji23] jamani nami naingoja kesho tusikie michepuko ya wakubwa wa nchi hiiNASIKIA KESHO MANGE KIMAMBI ANAMWAGA MBOGA,MICHEPUKO YA WATU !
sidhani , nafikiri huyu kijana ni wakala wao wa kukusanya rushwa toka kwa wahalifu,si kawaida hii hali
Daaah!!! Mkuu umewaza mbali sana...Sasa naamini kuwa mkulu na Daudi no washirika. Kitendo chake cha kupiga simu nakusema anapenda kuangalia kipindi cha Shilawadu ili kuwa ni kukipromote kipate watazamaji wengi kabla hawajashu
Sijaelewa unamaanisha nini hasa!! NI kwamba unatuambia akitaka dua za BAKWATA zifanye kazi awaambie tu ukweli kwamba anaitwa Daudi Albert Bashite wa Kolomije; au??!! Kwamba, dua za BAKWATA huwa zinapiga tantalila huku na kule kumtafute Paulo Christian Makonda lakini hazimuoni na hivyo zinaishia kuyeyuka tu; au?!Anaenda BAKWATA kuombewa kwa jina feki la Paul Makonda lakini Gwajima anaomba kwa jina la Daud Bashite ndiyo maana watu wamemganda wanataka vyeti hata walete Majanga ya tetemeko la aridhi watu hawabanduki kwenye mada ya vyeti.