kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 623
Zote ni juhudi za kuzima vyeti. Clouds ndo walikuwa wanaonekana sehemi yake ya kukimbilia. Kama na wao wanamkataa atakuwa na hali ngumu sana.
Nan mpinzani hapo mkuuUpinzani wa type gani huu Tanzania hatuwezi kuendelea kwa kuwa na upinzani wa kuattack personal life ya mtu.
Hatujatulia tulii hadi sasaHahaha hahahahahahh...... Hii kweli ni shilawadu na imekata kind shilawadu shilawadu!
Bashite weka vyeti mezani uepukane na haya yote!