RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Eti clips za nini!?

Post namba moja haina kitu, endeleeni kutengeneza mkimaliza rusheni.

Makonda oyeeeee
 
Kitaeleweka tu, Gwajima kwa uwezo alonao akalale na huyo msukule kweli, watoto kibao wakali wanakwenda kwake kusali
 
kesho sijui jibaba ata display footage mazabauni ?? ngoja tusubiri tuone
 
Amuonyeshe nani? Wewe?
Sijui kama unajua makonda ni mtumishi wa uma,? Mwananchi anapomshuku kiongozi amefoji vyeti, kiongozi ndo anawajibu wa kukanusha tuhuma na kuweka vyeti og hadharani ili kujisafisha"
Hili la bashite litamtokea puani tu, hana vyeti" angekuwa navyo na anavopendaga sifa...we unafikiriaje!? Angevionyesha kitaaambo.
 
kama ni kweli wakome tena kawatishia tu ilibidi hata kama angeza angewa**** tu maana wamezidi umbeya kama siyo wanaume hivi
 
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.

Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!

Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Me nakubaliana nawewe,lakini kuna swali la msingi hapa!!!! Kwann habari iwe ya upande mmoja tu na cyo pande zote mbili km ilivyo ada ya Shilawadu?
 
daah ila huyu ma!nge aombage asije kukama.twa akiwa hai aisee make raia nahisi watamch!una ngo!zi na watalazimisha kuivaa mbele yake, sio kwa upumb.avu anaoufanya
Hakuna raia atakayemzudhuru labda hao watawala wenu. We love Mange
=====
Msomaji, vema pia ukasoma hapa > Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!
=====

Makonda hua anafika office za clouds mara kwa mara. Siku zingine anashinda hapo mpaka jioni. Siku ya Alhamis Makonda alifika office za Clouds Cha ajabu siku hiyo alikaa mpaka usiku akawa anamtafuta soudy Brown na Qwisser wa SHILAWADU muda huo walikuwa bado hawajafika kazini basi akawa anazungukazunguka tu ofisi hii anatokea ile kama mfanyakazi wa Clouds.

Kwenye Mida ya Saa kumi hivi akakutana na kina Soudy pamoja na prodyuza wa kipindi wakawa wanaongea kwa uficho hivi na usiri tukajua tu ni mambo ya kawaida ya kuhitaji uprivate lakini siku ile ulikuwa unatia mashaka sana.

Kumbe Makonda alikuja na Story ya mwanamke mmoja ambaye yeye Makonda alisema huyo mwanamke amezaa na mchungaji Gwajima na ametelekeza akawa anataka arekodiwe na ubuyu uruke kwenye kipindi cha SHILAWADU.

Basi wakakubalia kwa kuwa ni habari itabidi huyo mwanamke arekodiwe na kipindi kiruke siku ya jana lakini kawaida ya Kipindi cha SHILAWADU ubuyu ukipatikana lazima kila mtu apewe Natural Justice ya kusikilizwa pande zote mbili sababu huwa ndiyo kawaida ya kipindi.

Makonda siku hiyo hiyo ya Alhamisi akamwambia Soudy ajiandae then huyo mwanamke mnayemuona kwenye video na mtoto aliletwa na wasaidizi wa Makonda ahojiwe na Soudy Brown tayari kwa kurushwa kwa kipindi.

Siku ya Ijumaa ambayo ilikuwa ni jana SHILAWADU wakamtafuta Gwajima kwa upande wake kama anaifahamu hiyo ishu na je mwanamke huyo aliyetajwa ni kweli kwasababu tunaelewa ugomvi uliopo kati ya Makonda na Gwajima isijekuwa SHILAWADU wanatumika kuwafitinisha watu vibaya!

kwa bahati mbaya Gwajima hakupatikana jana ijumaa kwa ajili ya kurekodiwa na kufanyiwa mahojiano.

SHILAWADU wakatumia busara mpaka apatikane Gwajima scene ya Dada mwenye mtoto ziende kwa pamoja na ya mchungaji Gwajima kama kawaida ya POVU inavyokuwaga.

Jana usiku sasa kumbe Makonda alikuwa anafuatilia kipindi cha SHILAWADU aone kama kile kipande kitaruka hewani wapi ndiyo akaamua kuja Clouds na magari mawili yeye mwenyewe Makonda na Watu kama nane hivi wakiwa na Bunduki aina ya SMG geti la kawaida mlinzi alifungua geti kwasababu amezoeleka Mh anakujaga mjengoni wakafunguliwa kisha wakaingia ndani.

Walipofika reception wakazuiwa kuingia ndani sababu hatuna utaratibu wa kuruhusu wageni baada ya saa Nne usiku kuingia ndani ya Ofisi kama siyo mfanyakazi wa CLOUDS.

Alipoona wanazuiwa wakatoa bunduki zao mlinzi akashurutishwa afungue mlango kwa nguvu sababu walimtishia na Silaha mlimzi akafungua mlango wakaenda naye hadi studio kipindi kilikuwa kinaendelea hewani.

Makonda akawatoa nje Soudy na Mwenzake Qwisser akawauliza kwanini video aliyowaletea haijachezwa wakaelezea utaratibu jinsi utaratibu ulivyokuwa Qwisser wakati anajielezea akapigwa mtama akaanguka chini wakavamia mitambo ya transmission kwenye traycaster wakitaka kile kipande kirushwe hewani prodyuza wa kipindi akamuambia Makonda kwanini anavunja utaratibu na kutumia nguvu na ameshapewa utaratibu akapigwa na kitako cha Bunduki mgongoni akaanguka chini bahati mbaya kipindi kilikuwa kimefika mwisho.

Wakamshurutisha Prodyuza wa SHILAWADU anaitwa Chriss awape kile kipande wakaondoka naye wakati wanaondoka Ruge alikuja na Polisi akaingia lakini tayari walikuwa wameondoka ofisini wamechukua hicho kipande cha Video ya huyo mwanamke.

Hizo video zilichukuliwa kwa nguvu na Makonda na hao watu waliokuwa na Silaha inasemekana Makonda ana timu yake wanazisambaza kwa kasi na hatujui lengo lake ni nini.

Hata mkihitaji footage za Camera zipo jinsi tukio lilivyokuwa usiku wa jana.

====
Kutoka kwa wadau wa Clouds Media
 
Salaam Wadau,ni Leo tu nilipokuwa katika zururazurura yangu mitandaoni ndipo nikakukatana na clip kadhaa zikionyesha mahojiano yaliyofanywa Kwa mama mmoja akiwa na mwanae ambae anadai kuwa ni mtoto WA gwajima huyuhuyu askofu

Katika clip hizo mama yule anadai kwamba gwajima alimshawishi kufanya nae mapenz Kwa ahad nono za kumboreshea maisha yake lakini akaenda mbali zaidi Kwa kudai kwamba katika madhabau ya gwajima chini yake Kuna vyumba ambavyo gwajima huvitumia kufanya mapenzi na mabinti wengine pia WA kanisa Hilo.

Kuibuka Kwa hili kipindi hiki hakujanistua Sana hasa kwakuwa tayar gwajima yukl katika vita ya maneno na mkuu WA mkoa na pengine vita hii imefikia huku,kilichonistua ni kwanini gwajima amekuwa akikutana na tuhuma za Aina hii zaidi ya maramoja?lakini pia kwanini amekuwa akinyooshewa vidole kwenye kashfa za hovyo tofauti na wadhifa aliona katika jamii kama kiongoz WA kiroho?lakini pia ni kwann viongoz Hawa WA kiroho Kwa miaka y karibun wamekuwa wakijikuta katika kashfa mbalimbali kama hizi za ngono na mambo mengine ya kidunia?

Ikumbukwe muda si mrefu gwajima huyuhuyu alihumiwa vikali na bwana Emanuel mbasha kuwa anajihusisha kimapenzi na mkewe flora mpaka kumtia mimba na kuvuruga ndoa Yao tuhuma ambazo pamoja na ufundi WA gwajima kujibu tuhuma kila anaposhambuliwa alizikalia kimya kabisa,pia mbasha alienda mbali mpaka kufikia kumkana mtoto aliyezaliwa na flora akisema ni WA gwajima napo gwajima hakuwah kukanusha Hilo.

Juzikati akahusishwa pia na tuhuma za biashara za dawa za kulevya na Sasa hili jingine LA ngono nalo limeibuka,Ikumbukwe pia gwajima si kiongoz pekee WA kidini kuwah kuhusishwa na ngono,wapo pia kina geor Davie ambae alihusishwa kupora mke wa mtu huko arusha,yupo pia mchungaji mwingira ambaye alishitakiwa mahakamani na mtu aliyedai nabii huyo na mtume alimbaka mkewe,zipo pia tuhuma za chinichini zikimhusisha askofu pengo kuwa Ana watoto aliozaa Kwa siri na mwanamama flan ambaye anahusiana nae Kwa siri

Ndugu zangu Kwa kuzingatia kwamba ndugu yetu gwajima na viongoz wenzake wameshawah kuwa watuhumiwa WA kukosa uadirifu ni vyema bas tusimchukulie dhamana moja Kwa moja Bila yeye kututhibitishia Kwa ushahidi WA vipimo kwamba hajampachika mimba hiyo huyo mwanadada,ndipo hapo naposema bashite alete vyeti na gwajima nae apime DNA atuletee vyeti vya majibu ya DNA toka Kwa mkemia WA serikali tujilidhishe kuwa nae Hana walakini katika uadirifu wake.

Karibuni Wadau tuchangie kuhusu hili
DNA kwa mkemia wa serikali itachakachuliwa fasta ooh
 
Back
Top Bottom