Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi pendwa Cha Raisi Mzee wa hapa kazi tu.Umbea mbaya sana,KIPINDI CHA SHILAWADU hakina manufaa kwa taifa,
Huyo makonda clouds wamemlea wenyewe
![]()
mange kimambi heshima kwako
Yani katika sentensi za Mchungaji ambazo akitamka najikuta nacheka sana ni hiyo ya "fafafa", na ile ya "Paul Christian Mananiliiiii huko"Fa fa fa fa fa....
Daah mambo inazidi kunoga
Na hii ukimletea ubashite anakublock tena na mitusi juuImenibidi nifungue account mpya kwa jili ya mange ya kwanza aliniblock
umeshafunguliwaIfungulie uzi wake specila kwamba huyu ndo soudy brown
umeshafunguliwa
Kwahiyo bado unamtetea tu au ushaacha?hata mimi....!! Haa ha ha..kipindi hicho namtetea Bashitee..nkala block...nkafungua acc nyingn[emoji23] [emoji23] [emoji23] nkamfollow maana Mange kwa Ubuyuu khaa..[emoji28] [emoji28] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
kuna uwezekano mkubwa sana kwamba huyo daudi na mkuu wana ushikaji fulani wa ndani zaidi ya kazi. hasahasa inawezekana daudi anayafahamu mahusiano ya kimapenzi na ya umiliki mali ya bosi wake tena yeye akiwa kama kiungo. ukikuta bosi ana urafiki wa aina hii na mmoja ya walio chini yake basi humlinda kwa nguvu yoyote ile. na hadi aje kumtupa basi inakua ni baada ya shughuli pevu sana. nimeshayaona mambo ya aina hii. unaweza kukuta huyu anatumika kama kiungo kwa mademu wa jamaa hasa kwenye upelekaji wa pesa na vitu kama hivyo. ukimya wa jamaa ukijumlisha na kiburi cha dogo sasa mimi vinanishawishi nianze kuhisi uwepo wa urafiki wa aina hii kati ya jamaa na dogo. you can trust me in that. maana ukabila tu hauko hivyo. mahusiano yangekuwa ni ukabila tu basi huyu angeshatumbuliwa maana kashfa zimekua too much. kitwanga ndiye walikua wamesh9ibana sana na mkuu hasa juu ya ukabila lakini sakata la lugumi halikufikia makali kama ya bashite lakini kitwanga akatumbuliwa.JPM asipochukua hatua mapema huyu Daudi atamaribia nchi na trust kwa wananchi wengi sanaa pamoja na dola nzima!! Itaonekana anamtuma na yeye anafaidika kwa anayofanya hasa blackmail alizoanzisha kujitajirisha!!! Naamini Kusaga atakuwa ameomba audinece na JPM kulalamika kwa hilo!! Sio sawa kabis kufanya alivofanya!!! Uzuri kuna camera ambazo feeds zote zipo! Ni aibu sanaa anatakiwa amtoe haraka ameshapoteza moral authority
Hizo ndizo hesabu kukataa,cloués hwatoki pia km mwakyembe dans laana nyingi. Sa sa nao wachague kumtosa mtoto sa mungu au sale chachu ya watanzania.Wacha mh amkumbatie kipenzi chake bashite. Lakini wahenga wamenena kuwa mchelea mwana kulia, mwishowe hulia yeye
Hatupuuzi tena ndo mtaisoma na huyo bashite wenuwatanzania puuzeni huu ni uzushi;mida hiyo tulikuwepo mjengoni na hakuna kilichotokea
Sio lazima kuonyesha cheti kwa wananchi hakuna sheria inayomlazimisha zaidi ya utashi wa mtu kama mtu ana wasiwasi na uhalali na vyeti vya kiongozi aende mahakamani na ushahidi.Sijui kama unajua makonda ni mtumishi wa uma,? Mwananchi anapomshuku kiongozi amefoji vyeti, kiongozi ndo anawajibu wa kukanusha tuhuma na kuweka vyeti og hadharani ili kujisafisha"
Hili la bashite litamtokea puani tu, hana vyeti" angekuwa navyo na anavopendaga sifa...we unafikiriaje!? Angevionyesha kitaaambo.
Sio lazima kuonyesha cheti kwa wananchi hakuna sheria inayomlazimisha zaidi ya utashi wa mtu kama mtu ana wasiwasi na uhalali na vyeti vya kiongozi aende mahakamani na ushahidi.Sijui kama unajua makonda ni mtumishi wa uma,? Mwananchi anapomshuku kiongozi amefoji vyeti, kiongozi ndo anawajibu wa kukanusha tuhuma na kuweka vyeti og hadharani ili kujisafisha"
Hili la bashite litamtokea puani tu, hana vyeti" angekuwa navyo na anavopendaga sifa...we unafikiriaje!? Angevionyesha kitaaambo.
Waende mahakamani hapa ameshakataa kuonyesha. Tafuteni plan bVita ya vyeti haina chama tena wengi wanaodai vyeti ni CCM wenyewe umesahau kuwa juzi Dodoma mmewafukuza CCM kibao kwani JF hawapajui?
Mimi nikiingia kwenye ile account ni kama sebule ya mama mkwe, sijibu yes wala no, ninakunywa nanayokunywa na kuondoka.Imenibidi nifungue account mpya kwa jili ya mange ya kwanza aliniblock
AsipotoaMbona anatumia nguvu nyingi kukimbia swala LA vyeti, atoe tuu vyeti hata vya Supp
atoe cha ubatizo au kliniki,hana hata risiti za ada za shule????agh bashiite jaaaaamaaaniiiiAsipotoa
jumanne ijayo meya wa ubungo anafungua kesi,wakili kibatala walikuwa wanasubiri mambo ya uchaguzi arusha yaisheWaende mahakamani hapa ameshakataa kuonyesha. Tafuteni plan b