Mimi bado siamini kama kweli kiongozi wa umma anaweza akayafanya hayo na hadi leo hii bado hajafukuzwaKama hili sakata la kuvamia CLOUDS ni kweli basi Makonda hastahili kuwa kiongozi. Raisi amuite mara moja amhoji na akikubali amtumbue.
Wanafiki wananafkianaKama kweli makonda kuyafanya au kama clouds mmeyafanya mjue mnajidhalilisha
Kuna jambosiku niliposikia yule mzee anaisifia show ya shilawadu,moja kwa moja nikajua kuna project inapangwa ili kuwaandaa watazamaji wao kiakili.
angalau sasa tumejua kuwa Jpm anashiriki kwa hali na mali ktk kupanga mikakati ovu dhidi ya maadui wa daudi bashite.
hakika haya sio mahaba ya kawaida kati ya bashite na mzee yule.
Dawa yao ni kuikataa serikali ya ccm hii ya maigizoAhaaa ndio maana hata bosi wake bashite akatangaza anawasikiliza na kuwapenda shilawadu,jamani hawa watu wenye mbinu mbaya sana, Hii serikali ni mbaya sana.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nafsi inamsuta kubwa zima na vyeti vya kufoji
Hongera sana kiongozi kwa kujiondoa kwenye utetezi wa hao waovumpiga dili mzoefu kitambo nilishajitoa kutetea ujinga na ujuha!
Tangu alipotangaza awamu ya pili ya utangazaji ya watuhumiwa wa ngada!
He can go and **** his ass too!
I aint in this shit!
Kuzaa na mtu ni kheri kabisaaaaaaaa ila kufoji vyeti ni wizi na anastahili kufungwaKwani kuzaa na mwanamke kisha kutokana na jambo flani msioane ni dhambi?. Nchi hii tumefika pabaya sana. Maendeleo ya viwanda tutayaongelea lini? Uchumi wa viwanda ni lini?
FaizaFox:chama chenu mnatufikisha sehemu mbaya sana kimaadili na Bashite wenuZingekuwepo zingeshawekwa, hizi ni porojo tu.
Rusha hiyo clip jinsi makoda alivyokuwa clouds. La sivyo hii itakuwa udaku tu
Watu wana smart phones. Anyway kuna wakati reality ina maajabu kuliko hata hadithi. Tusubiri.Mbele mitutu ya bunduki 8 na povu la Bashite, unadhani ingekuwa rahisi kurekodi video?!