RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

siku niliposikia yule mzee anaisifia show ya shilawadu,moja kwa moja nikajua kuna project inapangwa ili kuwaandaa watazamaji wao kiakili.

angalau sasa tumejua kuwa Jpm anashiriki kwa hali na mali ktk kupanga mikakati ovu dhidi ya maadui wa daudi bashite.

hakika haya sio mahaba ya kawaida kati ya bashite na mzee yule.
Kuna jambo
 
Kwani kuzaa na mwanamke kisha kutokana na jambo flani msioane ni dhambi?. Nchi hii tumefika pabaya sana. Maendeleo ya viwanda tutayaongelea lini? Uchumi wa viwanda ni lini?
Kuzaa na mtu ni kheri kabisaaaaaaaa ila kufoji vyeti ni wizi na anastahili kufungwa
 
Rusha hiyo clip jinsi makoda alivyokuwa clouds. La sivyo hii itakuwa udaku tu

Mbele mitutu ya bunduki 8 na povu la Bashite, unadhani ingekuwa rahisi kurekodi video?!
 
3d3e52a51d49b69551987dc5fbcea6ee.jpg
 
KM KAFIKIA HATUA HIYO BALSHITE THIS IS TOO RIDICULOUS. .....NDO SHIDA YA WATU AMBAO I.Q YAO NI NDOGO & DAUDI MUST GO.......
 
Uongo utaujua tu
hii ni story ya Wauza madawa haha
kuunga unga
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ukicheza na Mbwa ataingia mpaka sehemu ya Ibada,huyu bwana si kutwa anaonyeshwa huko Clouds sasa leo imekuwaje anataka awazowee watu kama nguo ya ndani mpaka wafanye anavyotaka yeye,kwanza yeye nani? na clouds kiyasi awapande kichwani mlikua mna mshau sanaa,angekua na vyeti asinge fanya ufukunyuku huo...
 
Back
Top Bottom