RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Ndugu yangu nakupigia magoti ,jaribu kutumia japo theluthi ya akiri yako......Bado unabishana na facts kisa tu umtetee makonda ?????kweli,kweli ,umeamua kujitoa ufahamu?????? So sad broooo
Huyo jamaa ni kiazi.....ndio maana huwa kuna div 0 mashuleni
 
This is too much kutoka kwa Makonda, na wanajeshi kabisa kulazimisha kipindi. Huu ni upumbavu wa hali ya juu
 
Na bado soon milembwe wataongeza vitanda.

9c084a1a13feeb7f728b8af6459b29fd.jpg
Saa 4 usiku akiwa na majambazi wenzake.
 
Wabongo bwana...

Tutajuaje kama hapo ni ofisi za Clouds media...
Tutajuaje kama ndio alikua ana kwenda kumchafua Gwajey na sio siku zingine za nyuma...

Kivideo chenyewe Robo lita.
 


Jana tulisema hapa kwamba Kuna habari za Makonda kuvamia Clouds. Watu walikataa na kutukana sana bila kuvuatilia. Haya nendeni Instagram Mange kawawekea Ushahidi.

Yani Makonda anatumia vibaya sana madaraka yake. Mh Rais Please, stop this Man.
 
Ebanaee,mi nlidhani ni story ya kutengeneza,kumbe hili jamaa ni zwazwa wa level hii.sasa alishindwa nini kuwatuma polisi akaenda mwenyewe fronti akijua kabisa kuna makamera yatakayoweza kumrekodi?.Sasa naamini kweli jamaa ni kilaza na anaweza akawa amefoji vyeti.
 
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.

Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!

Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Na ndio lengo la kuja yeye usiku ili wengine msijue,mgejua kuna wstu wangesema na wengine hata picha kupiga. Mtu kaja na askari unadhani alikiwa na lengo gani. Hebu acha upumbavu
 
Back
Top Bottom