Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda kuna part 2......kavideo kaduchu mnohivi clouds pote wana camera moja tu au watakua wanatoa hizi video kwa awamu.
Wanao sema jamaa alizungusha wako sahihi. Huwezi kuwa rc ukawa mjinga kiasi kile ni aibu. Je? Mh. Rais anajifunza nini kwenye hili??I saw it,uzuri napajua clouds Ile reception Ni yenyewe nilidhan Ile story Ni fiction kwa ushahid juu uncle magu bado atatia pamba masikion?da nahis bashite sio mzima anahitaj maombi wadau.Kama clouds wakiamua kuisambaza clip yote bas credibility ndogo iliyobak kwa bashite itaondoka kabisa,sehem nying mle ofisin Kuna CCTV camera sijui atachomokea wap?mwisho wa ubaya Ni aibu.Big up Mange,bravo sana
Jitahidi ufike Instagram kwa Mange kimambiWeka muvi sasa
Hulka ya ngamia ni moja ukimkaribisha kwenye kibanda chako jangwani ili apate ahueni ya jua kali la jangwani tarajia kifuatacho... Hataingiza kichwa tu ataingiza mwili wote na kukifumua kibanda chote.... Huyu ndio ngamia mkaribishe kwa ukarimu lakini tarajia haya
Kuna Mabinti wengi kweli leo wanajuta kwavile walirubuniwa wakarubunika walipoambiwa NAINGIZA KICHWA TUU....(Kwani uliambiwa ina mabega ile) matokeo yake ilizama yote na kilichofuata ni mengine makubwa yasiyotegemewa... !
Kila tokeo baya ni tunda la uovu... Ambush iliyofanyika clouds media na askari na wanajeshi wenye silaha za moto ni kitu kigeni kabisa kwetu, na si tukio la ujambazi la hasha ni kiongozi mkubwa akitaka matakwa yake yatimizwe
Kila jambo na wakati wake juzi ilikuwa furaha mkamshangilia mkamakaribisha kwa mbwembwe zote na kummwagia maji,leo karudi na mitutu
Poleni clouds media... Kila mchuma janga....
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.
Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!
Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.