Huyo jamaa ni kiazi.....ndio maana huwa kuna div 0 mashuleniNdugu yangu nakupigia magoti ,jaribu kutumia japo theluthi ya akiri yako......Bado unabishana na facts kisa tu umtetee makonda ?????kweli,kweli ,umeamua kujitoa ufahamu?????? So sad broooo
Hii inatosha sana, unaingia studio za watu na askari wa nini?Mbona imekuja nusunusu? cc tunataka kitu kizima
Mkuu weka video kabla uzi haujafutwa.Video Bashite ALIVYOWAVAMIA Shilawaduuu
Na bado soon milembwe wataongeza vitanda.
Cheo hiki kilienda kwa mtu asiyefaa, kijana mwenye mihemuko, bishoo . Lakini bahati mbaya kabisa magogoni wanapendelea vitu kama hivi
Nashukuru mkuu! Mungu akubariki sanaHii inatosha sana, unaingia studio za watu na askari wa nini?
Usiwe mpumbavu na mjinga angalia katika hiyo video kuna muda na siku na tareheWabongo bwana...
Tutajuaje kama hapo ni ofisi za Clouds media...
Tutajuaje kama ndio alikua ana kwenda kumchafua Gwajey na sio siku zingine za nyuma...
Kivideo chenyewe Robo lita.
Mkuu tunaomba wekeni mkanda mzima ili hata sizonje aone mtu anayemgroom ni mtu wa aina gani
Na ndio lengo la kuja yeye usiku ili wengine msijue,mgejua kuna wstu wangesema na wengine hata picha kupiga. Mtu kaja na askari unadhani alikiwa na lengo gani. Hebu acha upumbavuHabari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.
Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!
Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.