chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Au na huyo watasema si yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sichek kwa furaha bali masikitikoMkuu footage imekuvua nguo live.
Hahaaaa mkuu mshana nimependa andiko lako, kumbe bashite kawadanganya anaingiza kichwa ndio kazamisha mabega hadi limgongo [emoji31] [emoji31] [emoji31]Hulka ya ngamia ni moja ukimkaribisha kwenye kibanda chako jangwani ili apate ahueni ya jua kali la jangwani tarajia kifuatacho... Hataingiza kichwa tu ataingiza mwili wote na kukifumua kibanda chote.... Huyu ndio ngamia mkaribishe kwa ukarimu lakini tarajia haya
Kuna Mabinti wengi kweli leo wanajuta kwavile walirubuniwa wakarubunika walipoambiwa NAINGIZA KICHWA TUU....(Kwani uliambiwa ina mabega ile) matokeo yake ilizama yote na kilichofuata ni mengine makubwa yasiyotegemewa... !
Kila tokeo baya ni tunda la uovu... Ambush iliyofanyika clouds media na askari na wanajeshi wenye silaha za moto ni kitu kigeni kabisa kwetu, na si tukio la ujambazi la hasha ni kiongozi mkubwa akitaka matakwa yake yatimizwe
Kila jambo na wakati wake juzi ilikuwa furaha mkamshangilia mkamakaribisha kwa mbwembwe zote na kummwagia maji,leo karudi na mitutu
Poleni clouds media... Kila mchuma janga....
Ushahidi huo hapo bado unapingaKwahio umemaliza hivyo nawewe unajiita great thinker
Mods thread za namna hii zinatupotezea muda humu ni heri zifutwe......JF inageuzwa kijiwe rasmi cha UONGO
Footage zipo, hujabahatika kuziona tu.Zingekuwepo zingeshawekwa, hizi ni porojo tu.
Cctv imekuweka uchi live.Ivi video ya kuingia iwekwe, afu video ya kupigwa mitama ambayo ndo ime-hold water ya ishu nzima isiwekwe!
Kuna ulazima gani wa kwenda shule sasa!
uongo gani huoni hiyo video?Kwahio umemaliza hivyo nawewe unajiita great thinker
Mods thread za namna hii zinatupotezea muda humu ni heri zifutwe......JF inageuzwa kijiwe rasmi cha UONGO
Wewe ni b12, diva, au soudy mwenyewe? TwambieHabari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.
Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!
Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Inatia aibu na ukakasi kwa mtu kama bashite kukimbilia kwenye nyumba za ibada na kusema aombewe tena kwa kulia. Viongozi wa dini walimbeba kumbe nao waliingia mkenge.Nimebaki nimeduwaaaaaa tu!
Hii kitu inafikirisha, hongera kwa kuwa na cheti...Alafu hii ishu aliipanga na mkulu...sio Bashie pekeyake....maana haiwezi kuwa rahisi hivyo mkulu kuisifia shilawadu...in a week kikaja kioja hicho....mkulu alitaka watu tuamini habari za shilawadu...na tu-draw attension kwa habari za vipindi hivyo.
Shame on this uongozi
Kweli bana, footage iko kwa instagram bishop gwajima
Yaani ndio kinachozidi kuniduwaza.....Inatia aibu na ukakasi kwa mtu kama bashite kukimbilia kwenye nyumba za ibada na kusema aombewe tena kwa kulia. Viongozi wa dini walimbeba kumbe nao waliingia mkenge.
Mkuu utakula maneno yako, ina maana Ile footage ya uvamizi clouds fm hujaiona mpaka sasa?Uongo utaujua tu
hii ni story ya Wauza madawa haha
kuunga unga
Mkuu utakula maneno yako, ina maana Ile footage ya uvamizi clouds fm hujaiona mpaka sasa?Uongo utaujua tu
hii ni story ya Wauza madawa haha
kuunga unga