RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Kuna mijitu ilikuwa inamtetea anajifanya anaombewa MUNGU hadhihakiwi sasa ndo ataelewa anamuharibia adi rais sidhani kama huu uongozi utadumu.Eh Mungu muumba ardhi n Mbingu fanya lililo haki maana huyu raisi wetu ametupiwajini kipofu,bubu na kiziwii na Daud Bashite,amen.
 
Hulka ya ngamia ni moja ukimkaribisha kwenye kibanda chako jangwani ili apate ahueni ya jua kali la jangwani tarajia kifuatacho... Hataingiza kichwa tu ataingiza mwili wote na kukifumua kibanda chote.... Huyu ndio ngamia mkaribishe kwa ukarimu lakini tarajia haya
Kuna Mabinti wengi kweli leo wanajuta kwavile walirubuniwa wakarubunika walipoambiwa NAINGIZA KICHWA TUU....(Kwani uliambiwa ina mabega ile) matokeo yake ilizama yote na kilichofuata ni mengine makubwa yasiyotegemewa... !
Kila tokeo baya ni tunda la uovu... Ambush iliyofanyika clouds media na askari na wanajeshi wenye silaha za moto ni kitu kigeni kabisa kwetu, na si tukio la ujambazi la hasha ni kiongozi mkubwa akitaka matakwa yake yatimizwe
Kila jambo na wakati wake juzi ilikuwa furaha mkamshangilia mkamakaribisha kwa mbwembwe zote na kummwagia maji,leo karudi na mitutu
Poleni clouds media... Kila mchuma janga....
Hahaaaa mkuu mshana nimependa andiko lako, kumbe bashite kawadanganya anaingiza kichwa ndio kazamisha mabega hadi limgongo [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Kwahio umemaliza hivyo nawewe unajiita great thinker

Mods thread za namna hii zinatupotezea muda humu ni heri zifutwe......JF inageuzwa kijiwe rasmi cha UONGO
uongo gani huoni hiyo video?
au kwasababu ameguswa mwana lumumba mwenzio
 
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.

Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!

Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Wewe ni b12, diva, au soudy mwenyewe? Twambie
 
Ndo shida wa kuongozwa navijana alihisi anamkomoa gwajima
 
hao maaskari nao wapuuzi wwnakubalije kutumika ovyo ovyo
 
Alafu hii ishu aliipanga na mkulu...sio Bashie pekeyake....maana haiwezi kuwa rahisi hivyo mkulu kuisifia shilawadu...in a week kikaja kioja hicho....mkulu alitaka watu tuamini habari za shilawadu...na tu-draw attension kwa habari za vipindi hivyo.

Shame on this uongozi

Kweli bana, footage iko kwa instagram bishop gwajima
Hii kitu inafikirisha, hongera kwa kuwa na cheti...
 
Inatia aibu na ukakasi kwa mtu kama bashite kukimbilia kwenye nyumba za ibada na kusema aombewe tena kwa kulia. Viongozi wa dini walimbeba kumbe nao waliingia mkenge.
Yaani ndio kinachozidi kuniduwaza.....

Vita dhidi ya madawa ya kulevya kumbe ili avune mali zao,

Dunia ina mambo.
 
huyu jamaa atatumia dola kuwaangamiza maadui zake. Magu sijui kafanya nini na huyu bwana mdogo aisee . ushaidi wrote huu
 
Back
Top Bottom