[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bila hyo Clip kuvuja leo Clouds kungekua hapakaliki.Clouds wanamuogopa mange
Leo tungepewa mpaka video za wale ma shoga wakiliwa o714 usicheze na mange
Ila sasa nachojiuliza... Me clouds sijawai kuingia ntaaminije kama kweli pale ni clouds. Labda waweke vedio zaid hasa zile za kupigwa shilawaduMkuu utakula maneno yako, ina maana Ile footage ya uvamizi clouds fm hujaiona mpaka sasa?
Hapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyoClouds kosa lao lipi?! Wao wamepata taarifa kwamba kuna habari na hawakulazia damu! Baada ya kuona habari imekosa sifa za kuirusha; wakagoma kuirusha!! Na hata walipoendewa na askari; bado hawakuirusha!!
Sasa hapo Bashite ndo mwenye kosa kwa 100%!! Tuseme hakwenda kuwalazimisha... sasa alienda kufanya nini usiku wa saa 5!!!!
Hao jamaa wa ukanda ule wana hulka ya kutotaka ushauri, si unamuona hata bosi wake alivyoMke wa makonda annashindwa kumshauri mumewe jamani?
Duh bora kukimbia ndoaPengine mengine anamficha.... Nahisi kam anampa wakati mgum sn.... Na wazazi pia
Hii ndo yenyewe maana inaonyesha kaenda na kikosi kizima cha jeshi, masikini majeshi yetuClip nyingine ishawekwa kwa Mange
Kwa kweli basi alinyweHao jamaa wa ukanda ule wana hulka ya kutotaka ushauri, si unamuona hata bosi wake alivyo
Watakuwa wamemchokaCroud's tunaomba muombe radhi kwa ujinga mlioufanya!!
Hapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyoClouds kosa lao lipi?! Wao wamepata taarifa kwamba kuna habari na hawakulazia damu! Baada ya kuona habari imekosa sifa za kuirusha; wakagoma kuirusha!! Na hata walipoendewa na askari; bado hawakuirusha!!
Sasa hapo Bashite ndo mwenye kosa kwa 100%!! Tuseme hakwenda kuwalazimisha... sasa alienda kufanya nini usiku wa saa 5!!!!
Alienda kupindua nchi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unakonda wakati friji lina kila kitu.... Mume kila siku mabalaaDuh bora kukimbia ndoa
haaa kama leo nyumba kuna amani kweli roho juu juuUnakonda wakati friji lina kila kitu.... Mume kila siku mabalaa
Aseeee sijui hapa Atajisafishaje Coz kila kitu kipo waz. Shughuli itkuja kwa alyevujisha footage.Hii ndo yenyewe maana inaonyesha kaenda na kikosi kizima cha jeshi, masikini majeshi yetu
Le Generali mbabe wa vita... [emoji59] [emoji59]Alienda kupindua nchi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]