RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Mkuu utakula maneno yako, ina maana Ile footage ya uvamizi clouds fm hujaiona mpaka sasa?
Ila sasa nachojiuliza... Me clouds sijawai kuingia ntaaminije kama kweli pale ni clouds. Labda waweke vedio zaid hasa zile za kupigwa shilawadu
 
Hapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyo
 
Clouds wameogopa kuvuliwa nguo na mange aisee! Zile nondo za jana za wakurugenzi leo ingekua aibu Iyo clip ya cctv mtu wa nje anaipataje watakua wameona bora kujisalimisha kwa mange kuliko kukitia kituo chao aibu, ukimfuga chatu ipo siku atakugeuka! Single touch double manifestation[emoji23][emoji23]
 
Hapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyo
Alienda kupindua nchi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Haya sasa Baba yake aje atuambie nini kilimsibu mwana wa mfalme
 
Huyu Bashite anashindwa kuelewa kitu kimoja kuwa kichwani ni kilaza,hivyo Hamna hata deal moja anaweza kufanya akafanikiwa coz hana akili za kuzaliwa wala za darasani hana
 
TrumpRapa akimkingia kifua Bashite basi inabidi wabunge wampigie kura ya kutokuwa na imani naye,wasiogope kuvunjwa kwa bunge maana sie wananchi tutawarudisha tena ila yeye lazima ang'oke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…