miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
KabisaHapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaHapana simaanish juu ya hii issue ya juz,namaanisha all days back ni Hao CLOUDS ndio walimlea ndo walokua wakimtetea na kumfanya vile alivyo
hiyo iko wapi mkuu! naomba uipandishe plsNaona video ya pili imetolewa ikionyesha askari wanne huku watatu kati yao wakiwa na mitutu ya SMG ambapo wawili ni mabaka na wote wana mitutu, wawili ni polisi huku mmoja akiwa mwanamke ambaye amebeba mtutu... Hatari tupu!!!
Pengine waliokuwa wanapiga mitama ni hao mabaka!! Si unajuaga tena??
NAMTAFUTA yule dada anayemteteaga huku Jf.Le Generali mbabe wa vita... [emoji59] [emoji59]
yule dada anatisha mkuu! sio kwa bit lile la jana alilowapaClouds wameogopa kuvuliwa nguo na mange aisee! Zile nondo za jana za wakurugenzi leo ingekua aibu Iyo clip ya cctv mtu wa nje anaipataje watakua wameona bora kujisalimisha kwa mange kuliko kukitia kituo chao aibu, inimical chatu ipo siku atakugeuka! Single touch double manifestation[emoji23][emoji23]
Haohao tunaotegemea watulinde ndio haohao wanaoshiriki kwenye uhalifu,kaz tunayoHii ndo yenyewe maana inaonyesha kaenda na kikosi kizima cha jeshi, masikini majeshi yetu
Mange[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bila hyo Clip kuvuja leo Clouds kungekua hapakaliki.
Huyu jamaa sielew yan anaenda shinda clouds km mtangazajClip nyingine ishawekwa kwa Mange
Yaan we kama mimi.... Hadi raha
Nadhani mda huu watakua kikaoni na kina le mutuzNAMTAFUTA yule dada anayemteteaga huku Jf.
Ila Mange kwenye kuchimba mabiti hajambo!Mange
Gwajiama
Tundulisu
Kaa mbali na hao watu kwa kipindi hiki
Utaumbuka ila mi nilikuwa naitaka sana hii vita ya clouds
Hawana namna ya kumsafishaNadhani mda huu watakua kikaoni na kina le mutuz
[emoji23] [emoji23] hlf kachimba biti had kwa mkulu.yule dada anatisha mkuu! sio kwa bit lile la jana alilowapa
Mtoa uzi keshairusha.Duuuh,hebu nipandishie kiaina
Huyo ni mtoto?? Ungekua unaangalia Shilawadu ungemjua ni nani@Clouds wametishiwa kuweka uchi live, ndo mana wamekuja na maeelezo mengi na hako ka clip.
Tuelezewe na huyo mtoto apo amefuata nini?
Ulimbukeni ukizid sana tena.Huyu jamaa sielew yan anaenda shinda clouds km mtangazaj
Ngoja nikuleteeNAMTAFUTA yule dada anayemteteaga huku Jf.