RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

=====
Msomaji, vema pia ukasoma hapa > Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!
=====



Makonda hua anafika office za clouds mara kwa mara. Siku zingine anashinda hapo mpaka jioni. Siku ya Alhamis Makonda alifika office za Clouds Cha ajabu siku hiyo alikaa mpaka usiku akawa anamtafuta soudy Brown na Qwisser wa SHILAWADU muda huo walikuwa bado hawajafika kazini basi akawa anazungukazunguka tu ofisi hii anatokea ile kama mfanyakazi wa Clouds.

Kwenye Mida ya Saa kumi hivi akakutana na kina Soudy pamoja na prodyuza wa kipindi wakawa wanaongea kwa uficho hivi na usiri tukajua tu ni mambo ya kawaida ya kuhitaji uprivate lakini siku ile ulikuwa unatia mashaka sana.

Kumbe Makonda alikuja na Story ya mwanamke mmoja ambaye yeye Makonda alisema huyo mwanamke amezaa na mchungaji Gwajima na ametelekeza akawa anataka arekodiwe na ubuyu uruke kwenye kipindi cha SHILAWADU.

Basi wakakubalia kwa kuwa ni habari itabidi huyo mwanamke arekodiwe na kipindi kiruke siku ya jana lakini kawaida ya Kipindi cha SHILAWADU ubuyu ukipatikana lazima kila mtu apewe Natural Justice ya kusikilizwa pande zote mbili sababu huwa ndiyo kawaida ya kipindi.

Makonda siku hiyo hiyo ya Alhamisi akamwambia Soudy ajiandae then huyo mwanamke mnayemuona kwenye video na mtoto aliletwa na wasaidizi wa Makonda ahojiwe na Soudy Brown tayari kwa kurushwa kwa kipindi.

Siku ya Ijumaa ambayo ilikuwa ni jana SHILAWADU wakamtafuta Gwajima kwa upande wake kama anaifahamu hiyo ishu na je mwanamke huyo aliyetajwa ni kweli kwasababu tunaelewa ugomvi uliopo kati ya Makonda na Gwajima isijekuwa SHILAWADU wanatumika kuwafitinisha watu vibaya!

kwa bahati mbaya Gwajima hakupatikana jana ijumaa kwa ajili ya kurekodiwa na kufanyiwa mahojiano.

SHILAWADU wakatumia busara mpaka apatikane Gwajima scene ya Dada mwenye mtoto ziende kwa pamoja na ya mchungaji Gwajima kama kawaida ya POVU inavyokuwaga.

Jana usiku sasa kumbe Makonda alikuwa anafuatilia kipindi cha SHILAWADU aone kama kile kipande kitaruka hewani wapi ndiyo akaamua kuja Clouds na magari mawili yeye mwenyewe Makonda na Watu kama nane hivi wakiwa na Bunduki aina ya SMG geti la kawaida mlinzi alifungua geti kwasababu amezoeleka Mh anakujaga mjengoni wakafunguliwa kisha wakaingia ndani.

Walipofika reception wakazuiwa kuingia ndani sababu hatuna utaratibu wa kuruhusu wageni baada ya saa Nne usiku kuingia ndani ya Ofisi kama siyo mfanyakazi wa CLOUDS.

Alipoona wanazuiwa wakatoa bunduki zao mlinzi akashurutishwa afungue mlango kwa nguvu sababu walimtishia na Silaha mlimzi akafungua mlango wakaenda naye hadi studio kipindi kilikuwa kinaendelea hewani.

Makonda akawatoa nje Soudy na Mwenzake Qwisser akawauliza kwanini video aliyowaletea haijachezwa wakaelezea utaratibu jinsi utaratibu ulivyokuwa Qwisser wakati anajielezea akapigwa mtama akaanguka chini wakavamia mitambo ya transmission kwenye traycaster wakitaka kile kipande kirushwe hewani prodyuza wa kipindi akamuambia Makonda kwanini anavunja utaratibu na kutumia nguvu na ameshapewa utaratibu akapigwa na kitako cha Bunduki mgongoni akaanguka chini bahati mbaya kipindi kilikuwa kimefika mwisho.

Wakamshurutisha Prodyuza wa SHILAWADU anaitwa Chriss awape kile kipande wakaondoka naye wakati wanaondoka Ruge alikuja na Polisi akaingia lakini tayari walikuwa wameondoka ofisini wamechukua hicho kipande cha Video ya huyo mwanamke.

Hizo video zilichukuliwa kwa nguvu na Makonda na hao watu waliokuwa na Silaha inasemekana Makonda ana timu yake wanazisambaza kwa kasi na hatujui lengo lake ni nini.

Hata mkihitaji footage za Camera zipo jinsi tukio lilivyokuwa usiku wa jana.

====
Kutoka kwa wadau wa Clouds Media

Paskali Mayalla.
Njoo umtetee rafiki yako Makonda.
 
Kama kichwa cha habari kilivyo. Kwa kweli tulishazoea kuona polisiCCM kwenye mambo kama haya lakini JWTZ kutumika this low kwa mambo ya kuvamia shilawadu kweli nimeshangaa sana. Sawa huyu jamaa ni kiongozi wa usalama dar but Ndio anauwezo wa kuwatumia hawa walinda mipaka namna hii. Nategema Tamko kutoka Jeshini maama imelichafua jeshi zima ........Ila mambo.mengine yanatia hasira kwa kweli.
 
Hii noma aisee yaani km Kosovo vile naona miti ishaanza kuteleza
 
Hivi clouds hamna Security Alarms?
Maana mmetegemea cctv , vipi huyo jamaa angecover sura yake??
Yani ilitakiwa hapo vilie ving'ora mtaa mzima uamke.
Mtu kuja usiku kwenye kituo cha habari bila kufata utaratibu na KUTUMIA UBABE ikiwemo kutumia VITISHO KWA SILAHA ni MHALIFU.
 
Kuanzie leo naanza kumuamini Mange. Tukianzia ile tuhuma ya mfalme kumpiga malkia mpaka kalazwa. Mfalme msaidizi kutaka kujiuzulu, bashite hudeal na wauza unga, bashite kupokea hongo kutoka kwa wauza unga. Na wabunge wa MCC kupokea hongo ya m 10 @1
 
=====
Msomaji, vema pia ukasoma hapa > Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!
=====



Makonda hua anafika office za clouds mara kwa mara. Siku zingine anashinda hapo mpaka jioni. Siku ya Alhamis Makonda alifika office za Clouds Cha ajabu siku hiyo alikaa mpaka usiku akawa anamtafuta soudy Brown na Qwisser wa SHILAWADU muda huo walikuwa bado hawajafika kazini basi akawa anazungukazunguka tu ofisi hii anatokea ile kama mfanyakazi wa Clouds.

Kwenye Mida ya Saa kumi hivi akakutana na kina Soudy pamoja na prodyuza wa kipindi wakawa wanaongea kwa uficho hivi na usiri tukajua tu ni mambo ya kawaida ya kuhitaji uprivate lakini siku ile ulikuwa unatia mashaka sana.

Kumbe Makonda alikuja na Story ya mwanamke mmoja ambaye yeye Makonda alisema huyo mwanamke amezaa na mchungaji Gwajima na ametelekeza akawa anataka arekodiwe na ubuyu uruke kwenye kipindi cha SHILAWADU.

Basi wakakubalia kwa kuwa ni habari itabidi huyo mwanamke arekodiwe na kipindi kiruke siku ya jana lakini kawaida ya Kipindi cha SHILAWADU ubuyu ukipatikana lazima kila mtu apewe Natural Justice ya kusikilizwa pande zote mbili sababu huwa ndiyo kawaida ya kipindi.

Makonda siku hiyo hiyo ya Alhamisi akamwambia Soudy ajiandae then huyo mwanamke mnayemuona kwenye video na mtoto aliletwa na wasaidizi wa Makonda ahojiwe na Soudy Brown tayari kwa kurushwa kwa kipindi.

Siku ya Ijumaa ambayo ilikuwa ni jana SHILAWADU wakamtafuta Gwajima kwa upande wake kama anaifahamu hiyo ishu na je mwanamke huyo aliyetajwa ni kweli kwasababu tunaelewa ugomvi uliopo kati ya Makonda na Gwajima isijekuwa SHILAWADU wanatumika kuwafitinisha watu vibaya!

kwa bahati mbaya Gwajima hakupatikana jana ijumaa kwa ajili ya kurekodiwa na kufanyiwa mahojiano.

SHILAWADU wakatumia busara mpaka apatikane Gwajima scene ya Dada mwenye mtoto ziende kwa pamoja na ya mchungaji Gwajima kama kawaida ya POVU inavyokuwaga.

Jana usiku sasa kumbe Makonda alikuwa anafuatilia kipindi cha SHILAWADU aone kama kile kipande kitaruka hewani wapi ndiyo akaamua kuja Clouds na magari mawili yeye mwenyewe Makonda na Watu kama nane hivi wakiwa na Bunduki aina ya SMG geti la kawaida mlinzi alifungua geti kwasababu amezoeleka Mh anakujaga mjengoni wakafunguliwa kisha wakaingia ndani.

Walipofika reception wakazuiwa kuingia ndani sababu hatuna utaratibu wa kuruhusu wageni baada ya saa Nne usiku kuingia ndani ya Ofisi kama siyo mfanyakazi wa CLOUDS.

Alipoona wanazuiwa wakatoa bunduki zao mlinzi akashurutishwa afungue mlango kwa nguvu sababu walimtishia na Silaha mlimzi akafungua mlango wakaenda naye hadi studio kipindi kilikuwa kinaendelea hewani.

Makonda akawatoa nje Soudy na Mwenzake Qwisser akawauliza kwanini video aliyowaletea haijachezwa wakaelezea utaratibu jinsi utaratibu ulivyokuwa Qwisser wakati anajielezea akapigwa mtama akaanguka chini wakavamia mitambo ya transmission kwenye traycaster wakitaka kile kipande kirushwe hewani prodyuza wa kipindi akamuambia Makonda kwanini anavunja utaratibu na kutumia nguvu na ameshapewa utaratibu akapigwa na kitako cha Bunduki mgongoni akaanguka chini bahati mbaya kipindi kilikuwa kimefika mwisho.

Wakamshurutisha Prodyuza wa SHILAWADU anaitwa Chriss awape kile kipande wakaondoka naye wakati wanaondoka Ruge alikuja na Polisi akaingia lakini tayari walikuwa wameondoka ofisini wamechukua hicho kipande cha Video ya huyo mwanamke.

Hizo video zilichukuliwa kwa nguvu na Makonda na hao watu waliokuwa na Silaha inasemekana Makonda ana timu yake wanazisambaza kwa kasi na hatujui lengo lake ni nini.

Hata mkihitaji footage za Camera zipo jinsi tukio lilivyokuwa usiku wa jana.

====
Kutoka kwa wadau wa Clouds Media

Mheshimiwa huyu Bashite anayemng'ang'ania hivi na kumkingia kifua soon atamuacha uchi bila nguo. Mambo yanazidi kuwa dhahiri kadri siku zinavyosogea na aibu inazidi. Yaani mtu hadi anaamua kutumia vyombo vya dola kuvamia kituo cha habari kitangaze anayotaka bado mheshimiwa hahisi tu kuwa kuna sababu za kumchunguza huyu "malaika" wake?
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
zitakuja tu unadhani clouds tv wasingezitoa hizi in public kwa mange leo kungekalika maana aliahidi kutoa list ya vimada vilivyozalishwa na maboss wa clouds tv pamoja na ngazi za juu za nchi ya vi wonder na habari za maumbile yao ya siri
hi wikiendi imekuwa nzuri sana kwa sisi wapenzi wa Movies . mzee sasa pandisha clip ya jamaa wa shilawadu alivyopigwa mtama na mjeda
 
Nape Nnauye Nimepata kuangalia video ambavyo imewekwa kama ushaidi mkuu Wa mkoa katika kutumia madaraka yake katika kuzima kile ambacho kinaendelea juu yake..

Najua kabisa nape nnauye ndio msimamizi aliyeteuliwa na raisi Wa Tanzania katika kusimamia sekta ya habari..

Maswali yangu kwake..

Je ameona jambo ambalo limetendeka na mkuu Wa mkoa kwa clouds fm na kama ni kweli kilichotendeka nini kauli yake kwa kuakikisha analinda vyombo vyote vya habari kwa kile kinachoaminika ni matumizi mabaya ya madaraka?

Tusiangalie upande Mmoja kwa tuhuma ambazo clouds inabeba toka kwa wasanii ila naamini tukifanya ivi tutakuwa tunakosea kwa sababu leo kwa clouds Kesho kwa redio nyingine na nyingine?

Najua kama chama ina redio yake mambo kama aya yanapoletwa vyombo binafsi kwa kulazimisha ni kuhua nguvu watu walizotumia katika kuwekeza na kutoa ajira kwa watanzania wengi kwa jambo la MTU Mmoja tuu katika kuhakikisha jambo lake linakwisha.

Naamini kabisa nape ni MTU mwenye hekima atalifumbia macho jambo ili ikisibitika ni kweli ambacho kimefanya na mkuu Wa mkoa kwa clouds radio
 
Kama ingekuwa mimi ningekimbilia afghanistan kuomba hifadhi kwa miaka 80 upepo upite
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.

Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!

Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
wacha bwana,umeamka salama? ulikuwa mjengoni muda ule? kwenda hukooo
 
Tunaomba mkuu wa majeshi akemee hii tabia. Jwtz ni kulinda mipaka na siyo kutumika kwa upuuzi wa mkuu wa mkoa wa dar
 
Mi nimewaza labda hao walinzi alipewa kwa ajili ya kumlinda na mapapa wa madawa.
Ila kama kweli kaenda kutishia watu bas tamko tu litoke anatumia madaraka vibaya huyu bashite
 
Back
Top Bottom