Kipindi hata sijui kilivyoisha maana hata hawakuaga Mara ikaja taarifa ya habari na Harris Kapiga, nikawa nashangaa... Nikajisemea Shilawadu siku hizi haina mvuto. Kama ni kweli yasemwayo naanza kuamini maana kipindi kiliisha kama tuko commercial breakJe, ni kweli kipindi jana hakikuisha? Kama hakikuisha hii inaweza kuwa ni true suspect
Mahusiano yao ni ya ndani zaidi, I mean that is the family matterMkuu mambo kama hya yamezoeleka kwenye Nchi zenye machafuko ambapo kiongozi anaweza kuvamia Kituo cha redio akiwa na askari wenye bunduki sasa leo tunayaona kwetu hii ni hatari Magu na huyu Bashite sijui wana mahusiano gani
Umemsahau na Lema nae ni moto wa kuotea mbaliMange
Gwajiama
Tundulisu
Kaa mbali na hao watu kwa kipindi hiki
Utaumbuka ila mi nilikuwa naitaka sana hii vita ya clouds
from Bongo Hot News da!..ila makondaaaaaaaa
Ngoma ikivuma sana.....
bashite umetangulia mbele angalia sasa polisi na wanajeshi wako wanahangaika kufungua mlango huo wa kupandia ngazi za kwenda juuu kwenye tv,hahahaha kamanda sirro polisi wako wanatolewa ushamba na mlango jamani
Nje naona kabaki aliyevaa kiraia sijui ndo usalama wa Taifa...hehehehehehe Mungu wangu
Asante Bashite kila siku unamuacha mfalme uchi
Clip zimeendelea kutolewa mwenye mtandao ya kijamii.kama histagram ila Clouds kama watuhumiwa namba moja wanatakiwa watoke mbele kudhibitisha hili.Ili kujisafisha kwa jamii, clouds warushe hewani clip inayoonyesha wakivamiwa na bashite.
Pia wasitangaze habari yoyote inayomuhusu makonda bali watangaze inayomuhusu bashite.
He wishes to be The IGPBashite kama Amir jeshi vile!!
umeona eheeKweli kabisa,jamaa udalali umewafikisha hapa.
Ohooooo kumekuchaaa, akimwaga mboga kwa mkono na nyie mnamwaga ugali kwa mguu, ngoma inogileKwa Mara ya Kwanza nimeanza kuamini kuwa JF ni Mtandao Makini Kabisa, Mimi ni Mfanyakazi wa Clouds Media Group, Nipo Marketing department. Mwanzo Tulikua tumezuiwa kueleza Ukweli wa Hili Jambo, lakini Kutoka na Maadili ya Uandishi imebidi wakuu wa Idara waruhusu lizungumzwe, Leo Asubuhi Karibu wafanyakazi wote wamezungumza kuhusu ukweli huu. Ninasikitika sana kuona watanzania wajinga kama wewe Kubisha kitu ambacho hukijui halafu unadanganya Umma kuwa Ulikuwepo Mjengoni, huu ni Unafiki wa Kijinga. Jamaa yako kafanya Tukio kweli, na Mbaya zaidi aliyekua anambeba na kuendekeza huu Ujinga wake ni boss Ruge, lakini kwa mara ya kwanza Baada ya Kikao cha Jana Kizito Kapigwa marufuku, wafanyakazi wote tumefurahi maana tulikua tumemchoka na Tabia zake hapa Ofisini utafikiri yeye ndo Boss wetu. Kiufupi aliyezuia ile Video ya Mama mwenye mtoto ni Sisi wote kama Idara, tulimuomba ufanyike Uchunguzi kwanza ili kubalance Stori kabla haijaruka. Sasa Kaka, hayo ni Machache tu, Makonda ajitokeze Akanushe halafu sisi tutaweka Ushahidi wote.
Yaani nimeamini ukiwa na hasira akili haifanyi kazi, sehemu yenye CCTV camera kaenda kama anaenda Mabwepande!!!Swali la kujiuliza ?
Wale jamaa waliovaa ngwanda ni polisi?
Kama ni askari wa JWTZ basi jeshi limeoza...!
Huyu ndio mshauri wa daudi