RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Je, ni kweli kipindi jana hakikuisha? Kama hakikuisha hii inaweza kuwa ni true suspect
Kipindi hata sijui kilivyoisha maana hata hawakuaga Mara ikaja taarifa ya habari na Harris Kapiga, nikawa nashangaa... Nikajisemea Shilawadu siku hizi haina mvuto. Kama ni kweli yasemwayo naanza kuamini maana kipindi kiliisha kama tuko commercial break
 
Ukisoma baadhi ya post za Shilawadu utagundua kwa nini Makonda alitaka kwenda on air kinguvu...
Screenshot_2017-03-19-12-17-28.png
Screenshot_2017-03-19-12-14-50.png
Screenshot_2017-03-19-12-14-12.png
Screenshot_2017-03-19-12-13-36.png
Screenshot_2017-03-19-12-12-55.png
 
Najua mmeongea mengi sana lakini mkirudi nyuma mtakumbuka kuwa ktk vita ngumu duniani ni ya madawa ya kulvya!.


Yangu macho tu.
 
Ili kujisafisha kwa jamii, clouds warushe hewani clip inayoonyesha wakivamiwa na bashite.
Pia wasitangaze habari yoyote inayomuhusu makonda bali watangaze inayomuhusu bashite.
 
Mkuu mambo kama hya yamezoeleka kwenye Nchi zenye machafuko ambapo kiongozi anaweza kuvamia Kituo cha redio akiwa na askari wenye bunduki sasa leo tunayaona kwetu hii ni hatari Magu na huyu Bashite sijui wana mahusiano gani
Mahusiano yao ni ya ndani zaidi, I mean that is the family matter
 
Tuhuma za Makonda zitazimwa siku akionesha vyeti hadharani na hizi za Gwajima zinazimwa tu kwa kwenda kuchukuliwa vipimo vya DNI.
Hivyo Makonda kama unahusika kwa huu mpango usijipe 100%,na kama pia itathibitika ni kweli Gwajima kafanya hivyo hakukupi haki ya kutoonesha vyeti vyako vinavyosemekana umevinunua.
 


bashite umetangulia mbele angalia sasa polisi na wanajeshi wako wanahangaika kufungua mlango huo wa kupandia ngazi za kwenda juuu kwenye tv,hahahaha kamanda sirro polisi wako wanatolewa ushamba na mlango jamani
Nje naona kabaki aliyevaa kiraia sijui ndo usalama wa Taifa...hehehehehehe Mungu wangu
Asante Bashite kila siku unamuacha mfalme uchi

Ngoma ikivuma sana.....
 
Ili kujisafisha kwa jamii, clouds warushe hewani clip inayoonyesha wakivamiwa na bashite.
Pia wasitangaze habari yoyote inayomuhusu makonda bali watangaze inayomuhusu bashite.
Clip zimeendelea kutolewa mwenye mtandao ya kijamii.kama histagram ila Clouds kama watuhumiwa namba moja wanatakiwa watoke mbele kudhibitisha hili.
 
Wale wanafiki wa Bongo Movie uchwara wakiongozwa na yule mzee Steve Magere "Nyerere" maisha yao yanazidi kuwa magumu hapa mjini
 
Kwa Mara ya Kwanza nimeanza kuamini kuwa JF ni Mtandao Makini Kabisa, Mimi ni Mfanyakazi wa Clouds Media Group, Nipo Marketing department. Mwanzo Tulikua tumezuiwa kueleza Ukweli wa Hili Jambo, lakini Kutoka na Maadili ya Uandishi imebidi wakuu wa Idara waruhusu lizungumzwe, Leo Asubuhi Karibu wafanyakazi wote wamezungumza kuhusu ukweli huu. Ninasikitika sana kuona watanzania wajinga kama wewe Kubisha kitu ambacho hukijui halafu unadanganya Umma kuwa Ulikuwepo Mjengoni, huu ni Unafiki wa Kijinga. Jamaa yako kafanya Tukio kweli, na Mbaya zaidi aliyekua anambeba na kuendekeza huu Ujinga wake ni boss Ruge, lakini kwa mara ya kwanza Baada ya Kikao cha Jana Kizito Kapigwa marufuku, wafanyakazi wote tumefurahi maana tulikua tumemchoka na Tabia zake hapa Ofisini utafikiri yeye ndo Boss wetu. Kiufupi aliyezuia ile Video ya Mama mwenye mtoto ni Sisi wote kama Idara, tulimuomba ufanyike Uchunguzi kwanza ili kubalance Stori kabla haijaruka. Sasa Kaka, hayo ni Machache tu, Makonda ajitokeze Akanushe halafu sisi tutaweka Ushahidi wote.
Ohooooo kumekuchaaa, akimwaga mboga kwa mkono na nyie mnamwaga ugali kwa mguu, ngoma inogile
 
Back
Top Bottom