RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Pole sana Makonda!! Magufuli alikupenda sana, Uhuni umeupenda zaidi!
 
Huyu mpuuzi si wakamfungukie mashtaka police na kumtia selo as long ushaudi wa video upo pia.
 
Uongo kama huu ndio siupendagi....nimesoma hadi aya ya pili nikaona maneno ya uongo na Mimi km kawaida Yangu nikishaona uongo mwanzoni huwezi kunishawishi kwamba sehemu inayoendelea itakua ya ukweli.....
 
we umekulia maisha ya kitajiri..? umetoroka umasikini kwenu kyela umepanga hapo buguruni malapa chumba kimoja unajiona bonge la mjanja
Sijatoroka KYELA mjomba , nina hekali 100 za mpunga pale , wiki ijayo naenda kusimamia zoezi la utiaji mbolea .
 
Tuipe jina hii series
Main character bashite
Wahusika wengine ni producer Gwajima
Director Mange
Shilawadu ndo wamiliki wa sinema Hall
Magufuli yeye jambazi kuu
Starling wa mchezo bado hatujajua Nani teh teh
 
Wataalam wa saikolojia mtusaidie, yule mama alivokuwa anaongea kama kuna maneno anajikumbushia hv
 
clouds wamejitakia wenyewe kudhalilishwa na huyo Bashite kwani wao kutwa kucha walikuwa wanamrusha kwa ishu za magumashi. sidhani ITV au channel 10 anaweza Fanya hivyo
 
Nikitizama hizi picha za cctv naona askari waliomsindikiza Bashite wana uniform kama wale jamaa wapale nje IKULU , Je Bashite alitokea huko pamoja na Hawa walio msindikiza ??? Mwenye data atujuze please [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Tatizo la vijana wengi hawa wanaopewa uongozi , ni yale maisha ya kishamba sana na umasikini wa kutupwa waliokulia , haya yanayomtokea Makonda ni ushahidi halisi wa maandiko matakatifu yanayosema UMASIKINI NI DHAMBI .
Na mshahara wa dhambi ni .......
 
Kwani hao wa pale Ikulu ofisi yao iko wapi? Halafu hao kweli ni wa serikali au wamefanana na wa serikali?
 
Wadau Nimesikitishwa sana Na Kitendo kilichofanywa Na Uongozi mzima wa Clouds kumruhusu Bw.Makonda Na msafara wake wakiwa Na Silaha Kwa vyovyote ni za Jeshi la Polisi au JWTZ kuingia Studio Na kupiga kutisha watangazaji Na kuwaamuru kurusha kipindi.Sina ugomvi Na walichorusha ila utaratibu mzima uliotumika , je silaha alizotumia makonda zingeporwa Na majambazi ingekuwaje?Ndio maana nataka niende mahakamani ili Makonda, uongozi wa Clouds watangazaji Na hao walikuwa Na silaha watueleze watanzania ukweli.
 
"Hiki kitendo hakina tofauti na UHAINI, yaani pale angeweza kuchukua mike na kuamuru kamera upande wake na kutangaza AMEPINDUA SERIKALI! Kizaa zaa gani kingetokea?
Najua mkurungenzi mdogo Ruge hatokubali, lazima jambo litendeke kuhusu tukio hili."

cc: Mwigulu Nchemba , Nape Nnauye
 


Ha ha haaaaaaaa

Una yako wewe, ulikuwepo ukayaona na macho yako au ya bundi!?

Nenda kimbilia kabisaaaa na uwahi kesho

Unaadika nyuma ya ID feki weka jina kama wewe shupavu.
 
Huyu MTU ni nani hasa katika Nchi hii? Why anainajisi serikali yetu kiasi hiki?
Tuna uongozi kweli kwa sasa? Kama upo haya yote nani anayabariki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…