Kalamu Yangu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,107
- 1,056
Aichukue hayo mavyeti mtajuana na Ndalichako mie nimejikuta nakosa amani kwa Ben kutoweka tuu na sie kujisahaulisha....mange akiichukua issue ya Ben ni sekunde tu info Zote tunazipata
Hao clouds kama wana mambo mabaya wayafanyayo ambayo Mange anayajua wasitegemee kuvuja kwa video hiyo kutawafanya wawe salama...Suala sio kumuamini mange video ipo na makonda kaonekana anaingia na wanajeshi.....ila mange kiboko nahisi clouds wameiachia makusudi video baada ya mange kutishia kumwaga siri za maboss wa clouds!! Ila makonda ni kilazaaaa anajiona rais wa hii nchi au yaan nazidi kumchukia
we kiazi kweli kwani uvamizi hadi muwe wangapiHiyo video clip niliyoyaona ni fupi sana na inaonesha watu wawili na askari wawili.
Sioni uvamizi wowote hapo.
Ni kweli clip inaonyesha watu wanaingia kistaarabu bila purukushani yoyote ile makonda anaulinzi so haina utata wowote sema clouds wanataka kuzima soo wasionekane wabaya hata mara ya kwanza basi wasingerekodi baada ya kuona hawana uhakika na taarifa hiyowe kiazi kweli kwani uvamizi hadi muwe wangapi
kimetoka kipande hicho kwanza, akanushe vitolewe vingine, swala bado hot, Gwajima anasema vipande vyote anavyo kwanza anawasubiri Clouds waseme, ila kuna wahusika waliopigwa na vitako vya bunduki ili kutoa tapeHiyo video clip niliyoyaona ni fupi sana na inaonesha watu wawili na askari wawili.
Sioni uvamizi wowote hapo.
Huu Ndio ukweli wa. MamboHii ishu inayoendelea ya makonda kuvamia clouds na silaha kama ipo basi ni mkakati uliopangwa kabisa ili jamaa aweze kutumbuliwa na kosa la kutumia vibaya madaraka kwa kuvamia kituo cha habari na silaha na akitumbuliwa kwa kosa hilo bado litamuweka Makonda kwenye safe side ya yeye kuweza kurudi baadae kwenye medani hii ya uongozi au siasa kwani wengi tumeshaona wakitoka kwa makosa tofauti na kurudi kwenye vipindi vingine kwa sera fulani ya kuwa walionewa mwanzo au walifanya ili kulinda kitu au sababu nyingine...
HII ITASAIDIA KUTOTUMBULIWA NA VYETI FEKI KWANI TUHUMA HIYO INAMUHARIBIA IDENTITY YAKE KABISA KUANZIA JINA NA HATA MTAANI NI ZAID YA AIBU...
LAKINI HILI LIPO SO SOFT NA NI MKAKATI WA WAZI NA CLOUDS...
TOKEA LINI CLOUDS NA JAMAA WAKAKOSANA WAKTI KILA KUKICHA MUNGU WA MAGOGONI NA BASHITE WAMEKUWA WAKITUMIA KILE CHOMBO KWA MASLAHI YAO....
Jela inamsubiri kwa hamu kubwa.Unadhani Bashite akitumbuliwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kunaweza kuhalalisha vyeti feki alivyofoji?????
Nikuhakikishie Bashite ameshakufa kisiasa