Ni yale niliyomfuma bi mkubwa wako au?Malinda Yanakuwasha Siyo Bure
Kamwambie bi mkuba wako aliyekukosesha heshima na adabu ebo!!!Kakojoe ulale kijana ondoa matapishi yako hapa, kubwa jinga mfyuuuuuuuuuu
Bashite (Swala Mbugani) tunajua kinachokufanya uringeKutokana na sakata la Mh Makonda kuingia Clouds Media usiku, kila mtu amekua akisema yake. Wengi katika hao wanalaani Mkuu wa mkoa kufika pale akiwa na askari polisi wenye silaha. Wakumbuke polisi kwa kiapo chao na kazi zao ni walinzi wa amani. Sasa kila anayejipendekeza husema wanalaani Mh Makonda kuingia clouds akiwa na polisi. Kwa kauli zao Mh Makonda iwapo angefika peke yake hata kama angefanya kitu kibaya isingekuwapo dosari. Polisi waalikuwapo kuangalia usalama wa mkuu wa mkoa na wananchi wanaomhudumia mkuu wa mkoa.
HeheBashite (Swala Mbugani) tunajua kinachokufanya uringe
Nyie ndiyo hao hao wenye vyeti vya " Form Four Fight For Food For Four years".Kutokana na sakata la Mh Makonda kuingia Clouds Media usiku, kila mtu amekua akisema yake. Wengi katika hao wanalaani Mkuu wa mkoa kufika pale akiwa na askari polisi wenye silaha. Wakumbuke polisi kwa kiapo chao na kazi zao ni walinzi wa amani. Sasa kila anayejipendekeza husema wanalaani Mh Makonda kuingia clouds akiwa na polisi. Kwa kauli zao Mh Makonda iwapo angefika peke yake hata kama angefanya kitu kibaya isingekuwapo dosari. Polisi waalikuwapo kuangalia usalama wa mkuu wa mkoa na wananchi wanaomhudumia mkuu wa mkoa.
We ndio msemaji wa makonda?Kutokana na sakata la Mh Makonda kuingia Clouds Media usiku, kila mtu amekua akisema yake. Wengi katika hao wanalaani Mkuu wa mkoa kufika pale akiwa na askari polisi wenye silaha. Wakumbuke polisi kwa kiapo chao na kazi zao ni walinzi wa amani. Sasa kila anayejipendekeza husema wanalaani Mh Makonda kuingia clouds akiwa na polisi. Kwa kauli zao Mh Makonda iwapo angefika peke yake hata kama angefanya kitu kibaya isingekuwapo dosari. Polisi waalikuwapo kuangalia usalama wa mkuu wa mkoa na wananchi wanaomhudumia mkuu wa mkoa.
Haya ndiyo majawabu ya walioelewa mada kawambie na wengine.Nyie ndiyo hao hao wenye vyeti vya " Form Four Fight For Food For Four years".
Atakuwa ndiye Bashite mwenyewe, huyu.We ndio msemaji wa makonda?
Nashukuru umeelewaAtakuwa ndiye Bashite mwenyewe, huyu.
Nashukuru umeelewaWe ndio msemaji wa makonda?
Hongera, mpe hi Bashite na mwanae kama anae, na kama hana jitahidi kumzalia japo kamoja.Nashukuru umeelewa