kikokotoleo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 465
- 417
Mi leo nimeanza kusoma za kuhindi !namba hazijaisha acha tuzimalie kwanza
hakuna makonda haendi popote. tunajua wauza ngada mumejiapiza makonda lazima aondoke dar. hela kibao mumetoa kwa wapinzani na watoto wa mjini kwao mradi hela. jpm yuko sawa nchi haiwezi kupangiwa na wauza ngada cha kufanya. tukikubali hilo tumekwisha. wapinzani wanatake advantage kuunganisha nguvu na wauza ngada. tuneona jinsi tanzagiza na kina mange kimambi wanaweza kufika mbali kutimiza azma yao kwa kumporomoshea rais wetu matusi ya nguoni. vyombo vya ulinzi vifanye kazi yao. hawa watu wanaweza kufanya chochote.1. Makonda na Gwajima wakae wayamalize, aliyeanzisha ugomvi(makonda) Awe wa kwanza. au Gwajima kwa vile ni mtu wa kiroho anaweza akaanza(akipenda).
2. Makonda arudishe flash ya watu.
3. makonda awaombe msamaha "Mawingu MEDIA".
4. Ndugu Paul Makonda amwombe "mtukufu" rais kuwa amwondoe ampeleke Geita au ajiuzulu.
Hapo Ugomvi utakuwa umekwisha, tunataka tuanze mjadala wa TUME HURU YA UCHAGUZI. Ya Nappe na Makonda yawe yamekwisha.
ha ha ha ha haUna uhakika anaitwa Paul Makonda?
Lakini hii episode si tulishaimaliza na ukweli ulijulikana?Kuna tetesi ambazo tunaendelea kufatilia kwa ukaribu zikidai kwamba, ile video feki ya kumchafua Mchungaji Gwajima ilitengenezwa Sinza Mori kupitia Swahili TV ikiratibiwa na William Malecela aka Lemutuz pamoja na Daudi Bashite Mwenyewe. Hii ndio ile video iliyosababisha clouds Radio ikavamiwa na Daudi Bashite !
Nadhani ni vyema Lemutuz na uongozi wa Swahili TV wakajitokeza kutoa ufafanuzi wa hili swala. Hizi taarifa nimezipata kwa mtu wa karibu sana na Lemutuz pamoja na Daudi Bashite
Tunapalilia makaburi [emoji15] [emoji23]Hii issue basi jamani! Eeh!
Wakati si milele.... Kuna wakati wa kulima na kuna wakati wa mavuno.... Wakati wa kuwa pamoja na wakati wa kutenganaSiku hizi mbona lemutuz hayupo karibu na Davis Mosha? Na hamsifiisifii kama zamani. Kulikoni?
Na kuyajengea kama Yale ya Kinondoni mwembeni!Tunapalilia makaburi [emoji15] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Na kuyajengea kama Yale ya Kinondoni mwembeni!