RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Kama Kuna footage au hakuna, Kama Gwajima ametelekeza mtoto au imetengenezwa kumchafua, hii Sinema inatakiwa iishe sasa Kwa Mh kutoa vyeti hadharani au aachie ngazi au aachishwe na mamlaka iliyomteua.
Niliandika hapa JF Gwajima atoe vyeti huyu bwana anaweza kuja kumbwatukia na sasa yametimia.
 
Clouds Wamejitosa kwenye Sakata la Makonda kwa gear ya hii ili kuhadaa umma kuwa walikataa kurusha kipindi ili watumie social media kama ngao yao wasionwe ushiriki wao. Too low
Kuleta JF hii meseji ni namna ile ile ya kumpa promo Makonda aka Bashite na kuleta political diversion kwa kutumia mbinu ya huyo mama aliyepigika akiwa na mtoto
Pathetic

JF moderators wameingia naona Kiana kwa kuigiza igiza kufuta thread hii huku nafsini wakitaka iendelee kwa manufaa ya Makonda aka Bashite
 
[emoji23] [emoji23] umeongeza siku zangu za kuishi[emoji106]
Yaani kila siku MAPYA hadi raha sana huu mchezo ukitaka kufaid kuwa neutral utafurahi na ROHO yako.. Leo nimecheka Sana yule mdada anasema amezaa mtoto na Gwajima ETI anadai huyo mtoto mjanja mjanja kama Gwajima Sasa Nikajaribu ku imagine asee nimecheka Sana ETI mtoto mtundu mtundu Muda wote
 
Mh kweli elimu ya makonda mkuu wa mkoa sawa na ya kwangu mimi muuza viroba vya konyagi stand msamvu
 
Mimi ni kama Tomaso, nasubiri picha au video ili nijihakikishie kuwa ni kweli.
Mi pia maana nashindwa cha kuchangia. Ila inawezekana ikawa kweli. Clips za shiwaladu huwa wanakuwa wa kwanza kupost wao. lakini hawajapost badala yake mfuta viatu wa bashite le mburulaz ndio kapost.
 
Umbea mbaya sana,KIPINDI CHA SHILAWADU hakina manufaa kwa taifa,
Huyo makonda clouds wamemlea wenyewe
 
Hii nistori ya kupika, na mtungaji yuko vizuri sana, ili niamini tofauti post picha AMA Video ya huko kutekwa kwa shilawadu wakiwa clauds media unless ni story TU!!!


Upande wapili nikwamba hii yote inalengo kututoa kwenye hoja ya msingi, MAKONDA KUJITHIBITISHA KAMA MAKONDA na vyeti original na historia ya waalimu waliomfumdisha na marafiki zake AMA kugundulika yeye kweli ni BASHITE.

Uyo mama ukimfuatilia maongezi yake utajua kunawalakin!!! Hapa lengo nikuanzisha mlumbano ya aina mbili, team tunataka DNA na Team tunataka VYETI!!!

Wakati mnaendelea na hayo malumbano, wengine wanaipiga inchi!!! Tutumie akili wa tz!!!
 
Ni kweli hapa clouds kuna ujanja wanafanya kukwepa Lawama za kufanya kazi kwa upande mmoja pasipo kubalance ya Gwajima kwa kisingizio kuwa Gwajima alikuwa hapatikani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…