RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

hakun anayechoka,energy ipo kubwa sana na neno linasambaa kama nyasi mimi mwenyewe kila siku vijiweni nasambaza habari kwa raia na wanaanza kuelewa uozo uiopo kwenye awamu hii inayojifanya ya wanyonge
Naongolea kujichosha kudai cheti.
 
kuna uwezekano mkubwa sana kwamba huyo daudi na mkuu wana ushikaji fulani wa ndani zaidi ya kazi. hasahasa inawezekana daudi anayafahamu mahusiano ya kimapenzi na ya umiliki mali ya bosi wake tena yeye akiwa kama kiungo. ukikuta bosi ana urafiki wa aina hii na mmoja ya walio chini yake basi humlinda kwa nguvu yoyote ile. na hadi aje kumtupa basi inakua ni baada ya shughuli pevu sana. nimeshayaona mambo ya aina hii. unaweza kukuta huyu anatumika kama kiungo kwa mademu wa jamaa hasa kwenye upelekaji wa pesa na vitu kama hivyo. ukimya wa jamaa ukijumlisha na kiburi cha dogo sasa mimi vinanishawishi nianze kuhisi uwepo wa urafiki wa aina hii kati ya jamaa na dogo. you can trust me in that. maana ukabila tu hauko hivyo. mahusiano yangekuwa ni ukabila tu basi huyu angeshatumbuliwa maana kashfa zimekua too much. kitwanga ndiye walikua wamesh9ibana sana na mkuu hasa juu ya ukabila lakini sakata la lugumi halikufikia makali kama ya bashite lakini kitwanga akatumbuliwa.
hawa wana zaidi ya ukabila. trust me.
Naunga mkono hoja kuna kitu kimejificha hapo ipo siku mange kimambi atakijua na kuanika Ukweli wote live.
 
Sio lazima kuonyesha cheti kwa wananchi hakuna sheria inayomlazimisha zaidi ya utashi wa mtu kama mtu ana wasiwasi na uhalali na vyeti vya kiongozi aende mahakamani na ushahidi.

Huwezi ukathibitisha hana cheti kwa sab amekataa kuonyesha mahakama pekee yenye mamlaka hiyo.
Sasa kama ni hivo..wale wafanyakazi wengine waliosimamishwa kazi kwa kutokuwa na sifa ( vyeti) ni nani alienda kushtaki!? Tumuunge mkono raisi kwenye zoezi la uhakiki mpaka tuwatoe vilaza wote"
Msumeno....umegeukia upande wa pili, mtajificha mpaka kwenye vivuli vyenu wenyewe!
 
hakun anayechoka,energy ipo kubwa sana na neno linasambaa kama nyasi mimi mwenyewe kila siku vijiweni nasambaza habari kwa raia na wanaanza kuelewa uozo uiopo kwenye awamu hii inayojifanya ya wanyonge
Pesa yote ya kubana matumizi, safari za nje nk sasa inatumika kwenye mambo ya hovyo hovyo ndiyo maana hakuna maendeleo wala shilingi haipandi thamani dhidi ya dola, pesa nyingi imeelekezwa kwenye matumizi ya kuwalinda CCM Zanzibar, Lipumba kudhoofisha ukawa na kuua CUF, kugawa pesa kijijini kolomije ili kuficha ushahidi, awamu hii ya 5 imejaa vioja vitupu
 
=====
Msomaji, vema pia ukasoma hapa > Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!
=====

Makonda hua anafika office za clouds mara kwa mara. Siku zingine anashinda hapo mpaka jioni. Siku ya Alhamis Makonda alifika office za Clouds Cha ajabu siku hiyo alikaa mpaka usiku akawa anamtafuta soudy Brown na Qwisser wa SHILAWADU muda huo walikuwa bado hawajafika kazini basi akawa anazungukazunguka tu ofisi hii anatokea ile kama mfanyakazi wa Clouds.

Kwenye Mida ya Saa kumi hivi akakutana na kina Soudy pamoja na prodyuza wa kipindi wakawa wanaongea kwa uficho hivi na usiri tukajua tu ni mambo ya kawaida ya kuhitaji uprivate lakini siku ile ulikuwa unatia mashaka sana.

Kumbe Makonda alikuja na Story ya mwanamke mmoja ambaye yeye Makonda alisema huyo mwanamke amezaa na mchungaji Gwajima na ametelekeza akawa anataka arekodiwe na ubuyu uruke kwenye kipindi cha SHILAWADU.

Basi wakakubalia kwa kuwa ni habari itabidi huyo mwanamke arekodiwe na kipindi kiruke siku ya jana lakini kawaida ya Kipindi cha SHILAWADU ubuyu ukipatikana lazima kila mtu apewe Natural Justice ya kusikilizwa pande zote mbili sababu huwa ndiyo kawaida ya kipindi.

Makonda siku hiyo hiyo ya Alhamisi akamwambia Soudy ajiandae then huyo mwanamke mnayemuona kwenye video na mtoto aliletwa na wasaidizi wa Makonda ahojiwe na Soudy Brown tayari kwa kurushwa kwa kipindi.

Siku ya Ijumaa ambayo ilikuwa ni jana SHILAWADU wakamtafuta Gwajima kwa upande wake kama anaifahamu hiyo ishu na je mwanamke huyo aliyetajwa ni kweli kwasababu tunaelewa ugomvi uliopo kati ya Makonda na Gwajima isijekuwa SHILAWADU wanatumika kuwafitinisha watu vibaya!

kwa bahati mbaya Gwajima hakupatikana jana ijumaa kwa ajili ya kurekodiwa na kufanyiwa mahojiano.

SHILAWADU wakatumia busara mpaka apatikane Gwajima scene ya Dada mwenye mtoto ziende kwa pamoja na ya mchungaji Gwajima kama kawaida ya POVU inavyokuwaga.

Jana usiku sasa kumbe Makonda alikuwa anafuatilia kipindi cha SHILAWADU aone kama kile kipande kitaruka hewani wapi ndiyo akaamua kuja Clouds na magari mawili yeye mwenyewe Makonda na Watu kama nane hivi wakiwa na Bunduki aina ya SMG geti la kawaida mlinzi alifungua geti kwasababu amezoeleka Mh anakujaga mjengoni wakafunguliwa kisha wakaingia ndani.

Walipofika reception wakazuiwa kuingia ndani sababu hatuna utaratibu wa kuruhusu wageni baada ya saa Nne usiku kuingia ndani ya Ofisi kama siyo mfanyakazi wa CLOUDS.

Alipoona wanazuiwa wakatoa bunduki zao mlinzi akashurutishwa afungue mlango kwa nguvu sababu walimtishia na Silaha mlimzi akafungua mlango wakaenda naye hadi studio kipindi kilikuwa kinaendelea hewani.

Makonda akawatoa nje Soudy na Mwenzake Qwisser akawauliza kwanini video aliyowaletea haijachezwa wakaelezea utaratibu jinsi utaratibu ulivyokuwa Qwisser wakati anajielezea akapigwa mtama akaanguka chini wakavamia mitambo ya transmission kwenye traycaster wakitaka kile kipande kirushwe hewani prodyuza wa kipindi akamuambia Makonda kwanini anavunja utaratibu na kutumia nguvu na ameshapewa utaratibu akapigwa na kitako cha Bunduki mgongoni akaanguka chini bahati mbaya kipindi kilikuwa kimefika mwisho.

Wakamshurutisha Prodyuza wa SHILAWADU anaitwa Chriss awape kile kipande wakaondoka naye wakati wanaondoka Ruge alikuja na Polisi akaingia lakini tayari walikuwa wameondoka ofisini wamechukua hicho kipande cha Video ya huyo mwanamke.

Hizo video zilichukuliwa kwa nguvu na Makonda na hao watu waliokuwa na Silaha inasemekana Makonda ana timu yake wanazisambaza kwa kasi na hatujui lengo lake ni nini.

Hata mkihitaji footage za Camera zipo jinsi tukio lilivyokuwa usiku wa jana.

====
Kutoka kwa wadau wa Clouds Media
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona wanajitetea baada ya mange kusema anaenda kuanika machafu ya maboss wa clouds FM naona wameanza kupiga propaganda
 
Sasa naamini kuwa mkulu na Daudi no washirika. Kitendo chake cha kupiga simu nakusema anapenda kuangalia kipindi cha Shilawadu ili kuwa ni kukipromote kipate watazamaji wengi kabla hawajashusha mkakati wao.
Daud kamshika vibaya mkulu, na anamwingiza kwenye mambo ya kijinga atakayojuta sana.
Kama ni kweli katumia askari wenye silaha basi lazima ana kinga ya juu ndio maana hana hofu ya Sirro kutumia vijana wake kufanya ujambazi huo
Very logical, but mission failed.
 
Sasa kama ni hivo..wale wafanyakazi wengine waliosimamishwa kazi kwa kutokuwa na sifa ( vyeti) ni nani alienda kushtaki!? Tumuunge mkono raisi kwenye zoezi la uhakiki mpaka tuwatoe vilaza wote"
Msumeno....umegeukia upande wa pili, mtajificha mpaka kwenye vivuli vyenu wenyewe!
Waliofukuzwa kazi kwa kisa la vyeti feki wote warejee kazini kwani sasa ni ruksa kuwa na vyeti feki kwa kivuli cha Daud magufuli
 
=====
Msomaji, vema pia ukasoma hapa > Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!
=====

Makonda hua anafika office za clouds mara kwa mara. Siku zingine anashinda hapo mpaka jioni. Siku ya Alhamis Makonda alifika office za Clouds Cha ajabu siku hiyo alikaa mpaka usiku akawa anamtafuta soudy Brown na Qwisser wa SHILAWADU muda huo walikuwa bado hawajafika kazini basi akawa anazungukazunguka tu ofisi hii anatokea ile kama mfanyakazi wa Clouds.

Kwenye Mida ya Saa kumi hivi akakutana na kina Soudy pamoja na prodyuza wa kipindi wakawa wanaongea kwa uficho hivi na usiri tukajua tu ni mambo ya kawaida ya kuhitaji uprivate lakini siku ile ulikuwa unatia mashaka sana.

Kumbe Makonda alikuja na Story ya mwanamke mmoja ambaye yeye Makonda alisema huyo mwanamke amezaa na mchungaji Gwajima na ametelekeza akawa anataka arekodiwe na ubuyu uruke kwenye kipindi cha SHILAWADU.

Basi wakakubalia kwa kuwa ni habari itabidi huyo mwanamke arekodiwe na kipindi kiruke siku ya jana lakini kawaida ya Kipindi cha SHILAWADU ubuyu ukipatikana lazima kila mtu apewe Natural Justice ya kusikilizwa pande zote mbili sababu huwa ndiyo kawaida ya kipindi.

Makonda siku hiyo hiyo ya Alhamisi akamwambia Soudy ajiandae then huyo mwanamke mnayemuona kwenye video na mtoto aliletwa na wasaidizi wa Makonda ahojiwe na Soudy Brown tayari kwa kurushwa kwa kipindi.

Siku ya Ijumaa ambayo ilikuwa ni jana SHILAWADU wakamtafuta Gwajima kwa upande wake kama anaifahamu hiyo ishu na je mwanamke huyo aliyetajwa ni kweli kwasababu tunaelewa ugomvi uliopo kati ya Makonda na Gwajima isijekuwa SHILAWADU wanatumika kuwafitinisha watu vibaya!

kwa bahati mbaya Gwajima hakupatikana jana ijumaa kwa ajili ya kurekodiwa na kufanyiwa mahojiano.

SHILAWADU wakatumia busara mpaka apatikane Gwajima scene ya Dada mwenye mtoto ziende kwa pamoja na ya mchungaji Gwajima kama kawaida ya POVU inavyokuwaga.

Jana usiku sasa kumbe Makonda alikuwa anafuatilia kipindi cha SHILAWADU aone kama kile kipande kitaruka hewani wapi ndiyo akaamua kuja Clouds na magari mawili yeye mwenyewe Makonda na Watu kama nane hivi wakiwa na Bunduki aina ya SMG geti la kawaida mlinzi alifungua geti kwasababu amezoeleka Mh anakujaga mjengoni wakafunguliwa kisha wakaingia ndani.

Walipofika reception wakazuiwa kuingia ndani sababu hatuna utaratibu wa kuruhusu wageni baada ya saa Nne usiku kuingia ndani ya Ofisi kama siyo mfanyakazi wa CLOUDS.

Alipoona wanazuiwa wakatoa bunduki zao mlinzi akashurutishwa afungue mlango kwa nguvu sababu walimtishia na Silaha mlimzi akafungua mlango wakaenda naye hadi studio kipindi kilikuwa kinaendelea hewani.

Makonda akawatoa nje Soudy na Mwenzake Qwisser akawauliza kwanini video aliyowaletea haijachezwa wakaelezea utaratibu jinsi utaratibu ulivyokuwa Qwisser wakati anajielezea akapigwa mtama akaanguka chini wakavamia mitambo ya transmission kwenye traycaster wakitaka kile kipande kirushwe hewani prodyuza wa kipindi akamuambia Makonda kwanini anavunja utaratibu na kutumia nguvu na ameshapewa utaratibu akapigwa na kitako cha Bunduki mgongoni akaanguka chini bahati mbaya kipindi kilikuwa kimefika mwisho.

Wakamshurutisha Prodyuza wa SHILAWADU anaitwa Chriss awape kile kipande wakaondoka naye wakati wanaondoka Ruge alikuja na Polisi akaingia lakini tayari walikuwa wameondoka ofisini wamechukua hicho kipande cha Video ya huyo mwanamke.

Hizo video zilichukuliwa kwa nguvu na Makonda na hao watu waliokuwa na Silaha inasemekana Makonda ana timu yake wanazisambaza kwa kasi na hatujui lengo lake ni nini.

Hata mkihitaji footage za Camera zipo jinsi tukio lilivyokuwa usiku wa jana.

====
Kutoka kwa wadau wa Clouds Media
clouds km wanamtosa au wanakuwa nae hakuna option rahisi. Kwa sa sa wanunue calculator hesabu haziendi kirahisi. Ingawa kumtosa ndio njia ils watabidi walipue kila punje waliyoipata
Na kuwekeza ccm. Ni km kuanza moja.Réaction y'a baba na mwana haina mipaka wala njia y'a kutokea.
 
244505657f54717982c61577796cf8d9.jpg


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Gwajima kuzaa na mwanamke mtoto si not a big deal
Kwanza mwanaume kuzaa ni dalili ya lijali zaidi na si dhambi, cha Ajabu makonda hana hata mtoto wa kusingiziwa mpaka leo mkewe hazai wala yy hana mtoto ni Aibu jitu zima mpaka leo halina hata mimba za kupachika kwa Bahati mbaya kachepuka na kajala wakati mmewe akiwa jela lakini alishindwa kumpa mimba.
 
Sasa kama ni hivo..wale wafanyakazi wengine waliosimamishwa kazi kwa kutokuwa na sifa ( vyeti) ni nani alienda kushtaki!? Tumuunge mkono raisi kwenye zoezi la uhakiki mpaka tuwatoe vilaza wote"
Msumeno....umegeukia upande wa pili, mtajificha mpaka kwenye vivuli vyenu wenyewe!
Wale waligundulika baada ya zoezi rasmi la kuhakiki vyeti kutangazwa nida walitembelea taasisi zote wengine waligundulika baada ya kuonekana watu wawili wenye jina moja wakipata mshahara kwahiyo walimsimamisha mmoja akijitokeza wanamhoji.

Serikali imefanya hivi kwa watumishi ambao wako kwenye sheria za utumishi wa umma tu ambao vyeo na madaraja yao yanapandishwa kulingana na elimu na taaluma zao. Zoezi hili halikuhusisha wateule wa rais na wanasiasa kwa sab elimu haitumiki kama kigezo cha kupata uteule kuchaguliwa n.k

Watu hao ni wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wabunge na madiwani ndio maana watu hao wana elimu tofauti katika cheo kimoja.

Hivyo makonda na wakuu wa mikoa wote uhakiki hauwahusu kwa mujibu wa zoezi lenyewe. Kwahiyo hakuna logic kwanini ahakikiwe makonda tu?

Pamoja na kwamba zoezi la uhakiki halifanywi kwa wakuu wa mikoa haiwapi ruhusa ya kufanya kosa la jinai kama la kughushi cheti na kuachwa hivi hivi kwahiyo kama kuna mtu mwenye ushahidi kuwa makonda amefoji cheti kwa kuwa ni kosa la jinai aende polisi necta au mahakamani na ushahidi ili mashitaka yafunguliwe ushahidi usikilizwe na maamuzi yafanyike. Kama kweli ikithibitika pasipo shaka makonda kafoji cheti afungwe tu kama wengine na kama ikiwa kinyume chake awe clean. Lkn kwa njia ya kudai cheti akilete mtandaoni au kwenye media ni utashi wake tu kukubali ama kukataa kwa sababu hakuna sheria inayomlazimisha kufanya hivyo wala kumzuia asifanye hivyo.
 
Waliofukuzwa kazi kwa kisa la vyeti feki wote warejee kazini kwani sasa ni ruksa kuwa na vyeti feki kwa kivuli cha Daud magufuli
Na hili mh raisi wala hakumung'unya maneno, aljsema wazi kabisa akuna kilaza ataesalimika na zoezi ni endelevu. Mh. Rais kama ulivomtumbua kitwanga kwa ulevi wa pombe, huyu nae ni mlevi wa madaraka ni wakati wa kumtumbua sasa, hakuna namna tena!
 
Back
Top Bottom