mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 944
Yale yale ya kitwanga na lugumi kujifanya kalewa bungeniNilikuwa na mawazo kama yako. Huu mpango utakuwa umesukwa.. ili mkulu asionekane mbaya.. na makonda aondoke salama.
Lakin akimtumbua kwa ishu ya vyeti... RC atakuwa amepoteza mvuto wa kisiasa.. na mkulu ataonekana ni mkumbatiamaovu.