Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
majibu ni haya hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura unampigia nani?Nenda kahakiki ama ujiandilishe update haki yako ya Kupiga kura
Yap kapigwa ban ya kuingia USA lakini sio ya kuingia Mbinguni usijifanye Mtakatifu kwa kunyooshea mwenzio kidole jiulize na wewe umemkosea Mola mangapi ?mwisho wa siku atatubu kama watubuvyo waliongoka na kuuona ufalme wa Mbinguni usishangae ukafika huko ukashangaa anaimba na kusifu huku akizunguka na wale wazee 24 Dhambi zote sawa hakuna iliyo kubwa wala ndogo cha muhimu ishi maisha ya kumpendeza Mwenyezi MunguHabari ya mujini kwa sasa ni kuwa kapigwa ban kuingia USA kisa matendo yake
In God we Trust
Yap kapigwa ban ya kuingia USA lakini sio ya kuingia Mbinguni usijifanye Mtakatifu kwa kunyooshea mwenzio kidole jiulize na wewe umemkosea Mola mangapi ?mwisho wa siku atatubu kama watubuvyo waliongoka na kuuona ufalme wa Mbinguni usishangae ukafika huko ukashangaa anaimba na kusifu huku akizunguka na wale wazee 24 Dhambi zote sawa hakuna iliyo kubwa wala ndogo cha muhimu ishi maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukajiandikishe jamani,
Hivi kwani wewe ni mtanzania??Haendi mtu
In God we Trust