The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Unamaanisha Wakudadavuwa?ngoja tuone
Unamaanisha Wakudadavuwangoja tuone
Na myqoundou wake mpana??mtajiuliza maswali sana ila he owns the city ni ukweli usiopingika ana influence , akitoka raisi yuko powerfull sana nguvu nyingi imetumika kumwangusha ila woii hata hajatingishwa kucha ....sema sijui pesa anatolea wapi maana ukionganisha maneno yake duuuu utadhani mo *2
Sent using Jamii Forums mobile app
Nangoja kusikia kuwa Wasanii wa kike wa bongo movie wakiongozwa na Mawe watatoa Burudani kwa wachezaji wetu kwa siku mbili mfululizo popote watakapo amua kujivinjari kuanzia usiku wa Mechi. Ogopa mzee wa mipango Bashite!hakuna kupewa chupa, bia za kopo tu.
mimi nasimama na Uganda.Nangoja kusikia kuwa Wasanii wa kike wa bongo movie wakiongozwa na Mawe watatoa Burudani kwa wachezaji wetu kwa siku mbili mfululizo popote watakapo amua kujivinjari kuanzia usiku wa Mechi. Ogopa mzee wa mipango Bashite!
Sema Tukiacha ushabiki tukiwa tu Wasema ukweli MAKONDA NI KIONGOZI yani kama ni mchezaji ni Beki anaepanda na kushuka Hakai sehemu moja kimajukumu..Ana PLAY kote kote Huyu mtu hata Tumchukie TUPASUKE ila anajitahidi sana BWANA.
ILA HAPO KWENYE VINYWAJI MKUU sina uhakika..labda kama utanambia una HISA NGAPI kwa MOO,BONITE,TBL nk hv hv na ushabiki SIDHANI we tupambe tuuu Japo kama naiona DROOO hv maana hizi promo hizi
Mkuu tukiacha ushabiki tena, nitajie hata mambo mawili tualiyofanikiwa kama kiongozi, yanayofanya ummiminie misifa kedekede kama Ng'olo Kante!
***Mbire mwene Nyamwonyo***
Mambo ya wazi kama ya bei za bidhaa za viwandani hayahitaji mijadala. Common sense inakataa.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
naimbea uganda itufunge mengiiiiijii (0-6)Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
Zero Brain - Zero in Paper - BASHITE katika Ubora Wake.Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameahidi Kama taifa stars itamfunga Uganda jumapili Basi Bei ya vinywaji vyoye jijini vitashushwa kwa masaa 6 ili watu washerekee.
Hi ni habari njema kwa wazee wa Gambe
View attachment 1050521
Sent using Jamii Forums mobile app