Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Labda ni kundi mojawapo la Bongo Movie. Ngoja tusubiri Movie yao itakapotoka.Hata mimi nimeshangaa sana, wachimbe makaburi, wanunue majeneza, wanunue PPE, wakodi na Ambulance kwa ajili ya kwenda kufanya "shooting", Duu!
Uzi Closed.Akamuulize katibu mkuu wa wizara ya afya atakuwa anawajua maana aliwakataza kuzika usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Proof beyond doubtView attachment 1451084