RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

Hata mimi nimeshangaa sana, wachimbe makaburi, wanunue majeneza, wanunue PPE, wakodi na Ambulance kwa ajili ya kwenda kufanya "shooting", Duu!
Labda ni kundi mojawapo la Bongo Movie. Ngoja tusubiri Movie yao itakapotoka.
 
Kuandamana tu watu wanatishiwa vifo, leo nani mwenye ujasiri wa kununua majeneza na kufanya mazishi ya uongo. Huyu mtu anajitekenya na kucheka mwenyewe, hakuna mjinga aliyempata hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proof beyond doubt
IMG_20200514_170025.jpg
 
Watu wenye nia ovu sijui haya magari waliyatoa wapi?
 

Attachments

  • IMG_20200514_164650.jpg
    IMG_20200514_164650.jpg
    115.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom