William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #181
Hongera sana mzee wa mabebez
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pwani unapunga upepo hawajui kabisa- Watoto wa kiume wa Dar hawa, kazi kufuatilia mavazi ya Wanaume wasiowajua kwenye mitandao kwa kutumia majina ya bandia, ni hatare sana hawajui hapa ni Pwani hahahahahahha
le Mutuz Superbrand
- hahahahahaha Chuki na Wivu huzaa matokeo kama haya yaani binadam haelewi anachosema wala anachotaka, Mungu aniepushe maana kufikia huku ni lazima utakua na matatizo makubwa sana ya Afya ambayo sina so pole sana mkuu tafuta na picha zingine weka hapa, ila kitabu kitazinduliwa tarehe 31/8 King Solomon Hall hahahaha U know
le Mutuz Superbrand
- Kwenye huu mchezo mimi napiga pesa sio kama wewe unawaingizia pesa wengine hahahahahahhaa
le Mutuz Superbrand
- hahahahahaha Chuki na Wivu huzaa matokeo kama haya yaani binadam haelewi anachosema wala anachotaka, Mungu aniepushe maana kufikia huku ni lazima utakua na matatizo makubwa sana ya Afya ambayo sina so pole sana mkuu tafuta na picha zingine weka hapa, ila kitabu kitazinduliwa tarehe 31/8 King Solomon Hall hahahaha U know
le Mutuz Superbrand
Babu pesa hazipigi kelele sema unapata chenji chenji acha masikhara na pesa wenye pesa hawana mboyoyo kama hizi zako.
Hivi unawezaje kununua kitabu cha zero brain kama huyu le mutuz.Tunanunua vitabu vya kutuinspire na kutushawishi kuelekea katika positive way.Sasa huyu tikiti ataweza kweli kunishawishi mimi msomi kabisa? Atakayenunua atakuwa hajitambui
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] factMkuu ningeweza kununua ila kwakuwa bado nipo huku Grand Rapid-Michagani Tabu lako halina maana kwangu. Experience yako USA haimaanishi wote tunapitia.Tatizo haukuwa na Akili toka mwanzo. Baba yako ka waziri mkuu unge kuwa mbalisana sasa hivi. Uenda ungekuwa hataraisi wetu but bichwa tikiti maji
View attachment 846031
View attachment 846031
Songa mbele William. Go go William
Hicho kitabu FEKi utakuwa na experience gani wakati maisha ya amerika yamekushinda ukakimbilia kujibanza kwa waanii kubeba mikoba, hata ukashidnwa kupata cheo ndani ya ccm??
haya bwana nakusubiri Mocca Citty ahaaaaa- Unajua binadam kufikia kujifannisha na mbwa inajisema ni wa aina gani hasa ukijua jinsi mbwa wanavyofanya mapenzi na kuna binadam anajifananisha hivyo, ni hatare sana
- le Mutuz Superbrand