RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

Tunakisubiri kwa hamu
Le mutuz ameleta mapinduzi makubwa katika kucheza na mitandao,kutafuta udhamini na kujenga brand
Siku hizi kila msanii bongo utamsikia brand yangu nyoko nyoko mazafantaz
Kama wewe umeanza kusikia neno brand kutoka Kwa huyo kubwa jinga pole yako na wewe utakuwa zero brain
 
Kama wewe umeanza kusikia neno brand kutoka Kwa huyo kubwa jinga pole yako na wewe utakuwa zero brain
hujanielewa,naongelea wasanii ndio wameanza kusikia kwake,mie nipo kwenye tasnia ya masoko muda mrefu sana
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hawa waandaaji nahisi harufu ya kulazimishwa kudhamini na mzinduaji kama walivyolazimishwa tv za keko na vibanda vya maticha kwa sababu ya kiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
39685795_1030781437104254_5904349622653943808_n.jpg


- Kitabu kipya cha "MY AMERICAN EXPERIENCE" kinatazamiwa kuzinduliwa rasmi Ijumaa ya tarehe 31/8/2018 katika Ukumbi wa King Solomon Hall uliopo Namanga pembeni ya Bestbite na kitazinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dar Mh. Paul Makonda. Uzinduzi huo utakaoanza Saa Kumi na Moja kamili jioni utasindikizwa na Muziki mzito wa bendi maarufu nchini FM Academia au Wazee wa Ngwasuma, na pia zitawashirikisha wasanii wengi wa Bongo Fleva. Watu wengi maarufu wanatazmiwa kuhuduria uzinduzi huo ambao unategemea kuisha saa sita kamili za usiku. Pia Vitabu hivyo vitaanza kuuza rasmi hapo ukumbini baada ya kuzinduliwa kwa bei ya Tsh. 15K tu! ....WANANCHI WOTE MNAKARIBISHWA KIINGILIO NI BURE!...Kitabu hiki amabcho tayari kimekua habari ya mjini hata kabla ya kutoka, tayari uzinduzi wake umeweka racord ya Wadhamini ambao tayari wameshafikia 20.

- Tunategemea wawakilishi wa Jamiiforums kwenye uzinduzi maana bila JF mimi nisingekuwa what I am today na Mitandao.

le Mutuz Superbrand
Tuma kadi yangu le mbebez nakuja kuwakilisha jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh JF kiboko jamani nimesoma comments nimecheka kifala yaani,kitabu ni 15K tu na unapata burudani ya Ngwasuma lakini watu bado wamekomaa [emoji23][emoji23] unaweza kukuta wanao mfurumusha uku kwa comment kali ndio wanaompa moyo kule IG.
 
Yy anaongelea uzoefu wake wa kuish marekani. Na wala hajizungumzii yy maisha yake halisi.

Ama mm ndio sijamuelewa?
Daah! Ulipomtaja Prof Ishumi na falsafa mwili ukasisimka! He is good this field. Akina Sambo na marehemu Mbeo walikuwa wanagusagusa tu somo la falsafa kwa mbali. By the way tulikuwa darasa moja enzi hizo? Just asking.
 
Exactly..Mtu mafanikio hana..unaandika historia yako ili iweje sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
unatakiwa ujiulize mafanikio ni nn. kingine una hakika gani km ana mafanikio tuache wivu na Roho za kwa nn tutashindwa kufika km taifa japo nina tofauti na jamaa kisiasa ila kwa ili nampa ongera sio jambo dogo kuandika kitabu kuwapa Elimu watu wengine...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaeleza jinsi alivyokuwa failure, yaani mtu unakaa marekani miaka kibao unapata mke na watoto huko zen unawakimbia unakuja bongo kuishi maisha ya kuungaunga, bila hata ya kuwa na nyumba yako mwenyewe bongo hata huko USA.
Zen miaka inagonga 60 unahangaika tu na mambo very shallow ya kujionyesha kwenye starehestarehe za mabarobaro zisizoendana na umri wako.
Kupangiwa kuozeshwa tena na zero brain Bashite.
What a great failure to the former PM .
Hakuna lolote la kujifunza Kwa huyu kubwa jinga

- Nina a choice ya kukusikiliza wewe unayetumia majina ya bandia na Mzee Mengi Mwenyekiti wa IPP aliyefurahishwa na kitabu mpaka kuamua kuja siku hiyo na kuomba kuongea, hahahahahaha eti ungekua wewe ungechagua kumsikiliza nani hapa? hahahahahahahahah

le Mutuz Superbrand
 
Kama wewe umeanza kusikia neno brand kutoka Kwa huyo kubwa jinga pole yako na wewe utakuwa zero brain

- Hii event inadhaminiwa na wadhamini karibu 20, tena big brands labda nikuulize umewahi kudhaminiwa na wadhamini wangapi kwenye brand yako?

le Mutuz Superbrand
 
Back
Top Bottom