RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

- Sio muhimu kujibu but nitakuelimisha kidogo, kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, nilienda USA nikaamua kurudi nilikotoka Bongo, kelele za mlango ni kawaida. Walisema sitaweza bongo walipoona ninapaweza wakasema nimekimbia hahahahahhaa na bado! mtasema mengi sana!

le Mutuz Superbrand

Wewe ni me au ke? Samahani kwa swali hilo kama litakukera
 
HAHAHAHa mtoto wa kiume unafuatilia mavazi ya watu humu mitandaoni na mpaka kushauri wavae unavyotaka ...hahahaha Isee duh

le Mutuz Super Brand

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu. Amekushauri vizuri tu, usi panick .fanya utupie le sutiz you know !!! Coz siku hiyo ni tukio muhimu na lazima lirushwe kwenye media all over the fuckn world man
So lazima ung'ae mkuu
Chukua hiyo advice le akili kubwaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
narudia tena nikimkuta mtu anakesha eti anasoma upumbavu alioandika le mutuz ntamfanyia surgery ya kichwa niko radhi kupewa kesi ya Assault na kufungwa kuliko kuruhusu mtu asome upunguani alioandika Kubwa jinga lemutuz

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitabu umeandikiwa wewe, vingine acha vikupite wasome wenye interest, ila kisicho kufaa wewe cha mfaa mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom