Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Naunga mkono hoja. Ndo maana hata mzinduzi wake ni mtu mwenye heshima yake kwenye taaluma.Not talking about his title.
But kitabu kilichoandikwa hata na mtu mpuuz kiasi gani Bado kina nafasi nzur sana ya kufungua maarifa katika ubongo wa mtu mwerevu.
Siwez kusema kitabu chake hakina mantiki wala kukidharau