RC Makonda kuzindua kitabu "MY AMERICAN EXPERIENCE" Tarehe 31/8/2018

Acha upuuzi mkuu..ukiona mtu anashambuliwa sana na watu ujue kuna kitu..niwe na chuki na huyu dingi wa 57+ kisa nini??

Sent using Jamii Forums mobile app

- hahahahaha ukiona mtoto wa kiume anaingia kwenye mitandao na kushambulia wanaume asiowajua na hata kutetea vitendo hivyo ujue kuna tatizo mahali sijui wapi hahahahahahaha

le Mutuz Superbrand
 
Ona taahira linavyojichekesha!!! Huna akili ndo maana mzee mzima unarukwa ukuta!

- Hivi umeshaona mbwa wakifanya mapenzi sasa wewe kujiita mbwa huoni kuna tatizo fulani hivi au? hahahahahaha

le Mutuz Superbrand
 
Hata uchawi ulianza kwenye Thread kama hii you know!!!!
 

Hongera Brother. Pamoja na kuwa kuna mambo tunakubaliana vs kutokukubaliana humu JF lakini la Kitabu Big up sana! Natumai hujachomekea Ubuyu humo maana kufanya hivyo kutapoteza maana halisi ya "MY"
 
mi nikisikia Le mutuz ana mimba sitashangaa nna mashaka sana na jinsia yake isije kuwa kwenye ile video kile ni kinembe chake sio kibamia kama tunavodhani
# I SUBMIT

Sent using Jamii Forums mobile app
You can comment better than this.Si busara kutumia lugha hii kwenye mjadala japo siwezi kukupangia cha kuandika ila jaribu kuwa na hekima japo kidogo
 
Naomba tujitokeze kwa wingi kitabu kizinduliwe,

Yaan ni muhim walimu wa mikoa wa Dar kwa kuhamasisha uandishi wa vitabu
 
Daawh!

Kuna watu wana Nuksi hatareee

Siku chache kabla ya kuzindua kitabu mfadhili anapigwa Mtama

Kabembelezwa kuoaaaa kakataaa ile anakubali tu Na mfadhili anajitangaza hadharani kufadhili zahmatu minal balaa linaibuka


Mtoto wa Waziri Mkuu Na Makamu wa kwanza wa Rais Na Makamu Mwenyekit Mstaafu wa CCM Taifa unaenda Kuwa Mpambe wa kijana mdogo toka Misungwi aliekuja mjini Baada ya kubalehe?"!
 
Walimu wote huu Ndio muda Wa kumuunga nkono Mheshimiwa nkuu Wa nkoa ili apate ujasiri Wa kututetea tupate kukalia masofa na makochi. Tujitokeze siku ya uzinduzi kuonyesha kuguswa na suala la samani zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…