Tatizo si uhuru wa kutoa maoni bali tatizo ni uhuru baada ya kutoa maoni.Halafu niwasikie mnasema hakuna uhuru wa maoni hahaha
Lakini Lissu hajawahi kushika microphone na kusema yeye ni kichaasasa hapo huyo chizi Lissu katokea wapi?
Sasa mpaka konde boy anawanyima usingizi!Kikao chenyewe si bashite alikuwa anaongelea konde boy kula chiga?.
Lakini Lissu hajawahi kushika microphone na kusema yeye ni kichaa
Hahah eti kinder BoySasa mpaka kinder boy anawanyima usingizi!
Lol .. hatari sanaTatizo si uhuru wa kutoa maoni bali tatizo ni uhuru baada ya kutoa maoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Do not take things personal,kama muziki wake haukuvutii kuna wanaovutiwa na huo muziki sio kila muziki unamfaa kila mtu.Alafu kwanini usijadili hoja yake?unakwama wapi?Huyu wakaz n fungu la kukosa, hana mziki wwte ule lakn mbwembwe zake twitter utamwogopa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini alicho ongea hakina tija?Huyu wakaz n fungu la kukosa, hana mziki wwte ule lakn mbwembwe zake twitter utamwogopa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fungu la kukosa tena " huyo music anaufanya for funny ...ni mtoto wa kishua huyoHuyu wakaz n fungu la kukosa, hana mziki wwte ule lakn mbwembwe zake twitter utamwogopa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawapanga kujiandaa kuzunguka kwenye kampeni
Hivi Mengele ni msanii wa kitu gani?
Mimi huwa namuona ni mhamasishaji na kiunganishi kizuri inapotokea tatizo,zaidi ya hapo sijui ni msanii wa ngoma za asili au kitu gani.
RC wa Dar sina hakika kama anayajua majukumu yake. Au kutokana na kutozungumzwa kwa muda alitaka kuwatumia hao wasanii ili azungumziwe. Kitu ambacho pia kimeshindikana kutokana na hao wasanii nao kushuka sana kiumaarufu!
kuimba hajui kabisa, ila ku rap ndio anajua mpaka kero mkuu, anachana balaa!!Wakazi ni steve nyerere wa bongofleva, kuimba hajui ila kelele nyingii.
subiri siku mwanao akuandike "BABA UNAITWA SHULENI" kupitia facebook ndio utaelewa Wakazi alikosa nini mpaka hakwenda.kwani alikuwa ana kosa nini kwenda pale?
Hawajui hao.Fungu la kukosa tena " huyo music anaufanya for funny ...ni mtoto wa kishua huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajui kweli AiseHawajui hao.
Huyo alikua meneja wa Lady Jay Dee.
Akizinguliwa anaweza kurudi zake Ulaya.