Rc Makonda na Steve Nyerere matatani, Msanii wakazi kumuandikia barua Rais kuwashitaki kwa kutowapa wasanii mwaliko maalum kwenda Leaders Club

Rc Makonda na Steve Nyerere matatani, Msanii wakazi kumuandikia barua Rais kuwashitaki kwa kutowapa wasanii mwaliko maalum kwenda Leaders Club

Huko Twitter hali Ya hewa Imechafuka
Hahaa wakazi kakiwasha ile mbaya
IMG_20190203_074255.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hivi Mengele ni msanii wa kitu gani?

Mimi huwa namuona ni mhamasishaji na kiunganishi kizuri inapotokea tatizo,zaidi ya hapo sijui ni msanii wa ngoma za asili au kitu gani.

RC wa Dar sina hakika kama anayajua majukumu yake. Au kutokana na kutozungumzwa kwa muda alitaka kuwatumia hao wasanii ili azungumziwe. Kitu ambacho pia kimeshindikana kutokana na hao wasanii nao kushuka sana kiumaarufu!
 

Hivi Mengele ni msanii wa kitu gani?

Mimi huwa namuona ni mhamasishaji na kiunganishi kizuri inapotokea tatizo,zaidi ya hapo sijui ni msanii wa ngoma za asili au kitu gani.

RC wa Dar sina hakika kama anayajua majukumu yake. Au kutokana na kutozungumzwa kwa muda alitaka kuwatumia hao wasanii ili azungumziwe. Kitu ambacho pia kimeshindikana kutokana na hao wasanii nao kushuka sana kiumaarufu!
Wanawapanga kujiandaa kuzunguka kwenye kampeni
 
Back
Top Bottom