Tetesi: RC Mnyeti kufukuzwa kazi!

Tetesi: RC Mnyeti kufukuzwa kazi!

Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Jembe la CCM...kama vipi apewe cheo kikubwa...
 
HUYU ANAMHARIBIA SANA MH RAISI MAGUFULI, SIJUI KAMA WANAMWABIA LAKINI, HUYU HAFAI KABISA, WHERE WE ARE GOING THIS TIME?
 
Miafrika vichwa maji kabisa....hivi jamaa anaonge yale maneno,bila hata aibu na usikute kuna watu wanampigia makofi kabisa....Na huyu ni mtu mzima, baba wa familia huyu anaongea publically hivi..sijui huko sirin anaongea mambo fani??
 
Hakuna kitu kama hicho.Tambuwa jambo moja kuanzia sasa,ni kwamba kila jambo ambalo wewe unaliona ni baya ujuwe upande wa pili ni zuri!
 
limbukeni na mshamba tu huyo, zito alisema tunaongozwa na washamba
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Aliye mteua alisema rushwa haina nafasi kwenye utawala wake, aliyeteuliwa akagawa rushwa na akajisifu in public kuwa ataendelea kutoa zaidi na zaidi.
Baada ya mteuzi kusikia mteuliwa akininasibu kwa umahiri wa michezo ya rushwa, Mteuzi akampandisha cheo ghafla na TAKUKURU wakapiga saluti.
Unataraji huyo Nyeti atafanywa nini labda!?
Mbina mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii?
 
Aliye mteua alisema rushwa haina nafasi kwenye utawala wake, aliyeteuliwa akagawa rushwa na akajisifu in public kuwa ataendelea kutoa zaidi na zaidi.
Baada ya mteuzi kusikia mteuliwa akininasibu kwa umahiri wa michezo ya rushwa, Mteuzi akampandisha cheo ghafla na TAKUKURU wakapiga saluti.
Unataraji huyo Nyeti atafanywa nini labda!?
Mbina mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii?
Kwa maoni ya wengi humu ni kuwa Mnyeti hawezi adhibiwa na mteuzi zaidi ya kupongezwa.
Kwa hiyo bwana mkubwa ni muongo pale asemapo Maendeleo hayana chama.
Haya mambo huko Zamani hayakuwapo jee ni kwamba huyu was sasa anaipenda sana ccm kuliko watangulizi wake? Hivi sii walisema hajawahi kuwa hata mjumbe wa Nyumba kumi wa chama?
 
Back
Top Bottom