johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huko kuna stand ya kimataifa ya NdegeStendi ya Chato pia Ina matope?
Mbona hashangai uwanja wa ndege huku hakuna ndege zinazotua hapo?Mkuu mpya wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
TeteteteteWatu wa Geita wanapanda ndege tu hadi Chato Int. Airport na kurudi makwao kwa private cars naamini
Ndio manka!Stencil ya Chato pia Ina matope?
Alikuwa busy na Chato pekeeMzee wa chato hakuiona?
Ifike hatua madini ya wana geita yawanufaisheAlikuwa busy na Chato pekee
Hapo hapo chato kwa walima furu kuna uwanja wa ndege wa kuchezea bata na mwewe.Mkuu mpya wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
Zile mbwembwe za musukuma kumbe stendi yake ni tope tupu kama Bukoba!!Ifike hatua madini ya wana geita yawanufaishe
Mama kaanza kutengeneza ulaji mapemaaa.Mkuu mpya wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope....
Chato ni mkoa tarajiwa bwashee!Hapo hapo chato kwa walima furu kuna uwanja wa ndege wa kuchezea bata na mwewe....
Hii nchi ilikua kwenye full fascism
Chato ni mkoa tarajiwa bwashee!
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.Hapo hapo chato kwa walima furu kuna uwanja wa ndege wa kuchezea bata na mwewe....
Hii nchi ilikua kwenye full fascism
Kateuliwa kuijenga sio kushangaa. Ni wajibu wake kuijenga.
Njiwa wametutia hasara😆Zile mbwembwe za musukuma kumbe stendi yake ni tope tupu kama Bukoba!!