Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mkuu mimi sio msukuma ingawa ni mwenyeji wa kanda ya ziwa.Tuseme kweli kupitia Fashisti Yule wasukuma mmeonekana ni watu wa hovyo sana.
Simiyu, Geita, Shinyanga, Mwanza na Tabora ni mikoa ya wasukuma ndio kabila kubwa kuliko yote Tanzania.
Usiwaunganishe wote kwa kumtazama mtu mmoja tu.
Kama wasukuma wangekuwa sio waungwana hii nchi siku nyingi ingeshamegwa tangu enzi za JKN.